Meno
Member
- Apr 19, 2013
- 87
- 24
Wachaga Wachaga wachaga!! mtakoma nao.
Labda kama mlikuwa hamjui neno MAENDELEO ndo limewavuta wengi wao.
Ukitaka kuendelea muige mchaga.
Ukienda Popote TZ ukamkosa huyo jamaa Jua hakuna maisha.
Wafuateni tuu,hata kama wako chadema.
Kidogo Wanyakyusa na Wasukuma wame anza Kuwa fuata zeni tuta sikia cdm ni chama cha makabila matatu Mara manne mwisho yote.
Labda kama mlikuwa hamjui neno MAENDELEO ndo limewavuta wengi wao.
Ukitaka kuendelea muige mchaga.
Ukienda Popote TZ ukamkosa huyo jamaa Jua hakuna maisha.
Wafuateni tuu,hata kama wako chadema.
Kidogo Wanyakyusa na Wasukuma wame anza Kuwa fuata zeni tuta sikia cdm ni chama cha makabila matatu Mara manne mwisho yote.