jingojames
JF-Expert Member
- Mar 12, 2010
- 886
- 452
Hivi huyu Mchungaji Mtikila ameshalipaga zile pesa alzokopeshwa na RA Tshs.3,000,000/=maana baada ya kukopeshwa akamshambulia na kumdhalilisha RA kuwa RA ni fisadi,hila alikuja kuumbuka vibaya alipooneshwa nakala ya Payment Voucher aliyosaini kupokea 3Mil.alipoulizwa na waandishi mbona umepoka hela toka kwake na umesema kuwa ni fisadi akakosa majibu na kujiumauma kwa abu nafedhea!nilicojifunza tka kwa Mch.Mtikila anaonekana kuwa ni mtu mnafiki na hasiye na shukurani
Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,
Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,
Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,