Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

'Kama CCM wanasema kuwa CHADEMA ni chama cha Kikristo na cha Kaskazini, Basi tuseme kuwa CCM ni chama cha Pwani na Cha kiislamu?

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itika...ni na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu''



Ili kuondoa dhana hii ambayo imetawala kwa vichwa vya watz wengi kuwa CDM ni chama cha ukabila, wazo langu naomba MBOWE & SLAA wawapishe watu wengine au mmojawapo aachie ngazi na huyo atae shika nafac ya aliyejiengua km SLAA au MBOWE asiwe MCHANGA, kidogo watz wanaweza kuwaelewa nini mnafanya
 
Ili kuondoa dhana hii ambayo imetawala kwa vichwa vya watz wengi kuwa CDM ni chama cha ukabila, wazo langu n aomba MBOWE & SLAA wawapishe watu wengine au mmojawapo aachie ngazi na huyo atae shika nafac ya aliyejiengua km SLAA au MBOWE asiwe MCHANGA, kidogo watz wanaweza kuwaelewa nini mnafanya
Unanichekesha na kunikumbusha maneno ya biblia pale msalabani " Ati yeye ni Kristu, Mfalme wa Israel basi na ashuke kutoka msalabani ili tone na kuamini". Hata kama uongozi mzima ukibadilika bado kitasemwa kuwa chama cha wakristo au propaganda nyingine itasemwa. Ni vizuri ukafanya analysis na vyama vingine kwa kila jambo unaloilaumu CHADEMA maana inawezekana hali ikawa worse katika vyama vingine kwa hilo/hayo unayoituhumu CHADEMA.
 
Hivi kuna mwanasiasa ana kesi nyingi mahakamani kama huyu mzee kwanza chama chake ni cha familia yeye na mkewe
 
Hiyo DP yake ameshindwa kuipeleka popote kwa nini?
Ana kadi ya cdm? Kama hana mwambie ale pilipili itamwasha mdomoni, asiwashwe wakati hajala yeye.
 
'Kama CCM wanasema kuwa CHADEMA ni chama cha Kikristo na cha Kaskazini, Basi tuseme kuwa CCM ni chama cha Pwani na Cha kiislamu?

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itika...ni na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu''
kama nape na nchemba ni waislamu basi hata slaa na msingwa ni waislamu.
 
cuf ilipokuwa na nguvu
mlisema ni cha kidini, tena Islam, na mkasema ni cha wapemba na
waislamu... Sasa wa tz mbona ccm inavuruga Taifa.

Na wewe c mmojawapo ambae ulikubali kuvurugwa? Sasa ni zamu yenu
 
Kumbe maneno hayo kasema Mtikila!! Yule aliyepigwa mawe Tarime kwa kuongea pumba, yule anayechukua posho kawą Rostam, yule aliyetumika kutaka kumfukuzia Congo mchungaji Mulilenge!
Yule mganga njaa mkubwa hapa town, yule kiongozi wa kitaifa pekee mwenda kwa miguu!! Teh teh teh!!
 
huyu mzee namjua sana sio mzima kichwani
anapenda kupayuka
labda suala la ukabila atuambie Lissu msigwa,mnyika,mbowe sr slaa wote hawa kabila moja
suala la udini atumbie dr slaa mbowe,arfi,zito na wengineo ni dini moja
huyu mzee ni njaa na anaishi kwa kupiga midomo
siko chadema lakini siafiki unafiki wa kusema chadema ni chama cha kikabila au udini...

kama yeye ba CCM wanasema kuwa CHADEMA ni chama cha Kikristo, kikabila na kikanda Basi tuseme kuwa CCM ni chama cha Pwani na Cha kiislamu?
Nimekopi mahali....
Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu'
 
Hivi kuna mwanasiasa ana kesi nyingi mahakamani kama huyu mzee kwanza chama chake ni cha familia yeye na mkewe

asante mkuu kwa kuliona hilo , japo kiukweli huyu mzee anatakiwa kuhurumiwa sana , unapokuwa KAPUKU uzeeni mtindio wa ubongo unaingia !
 
Mmemaliza yote niliyotaka kusema juu ya huyu mtu aliyenyamazishwa kwa kuhongwa milioni 300 na aliokuwa anawaita ma--------- ili akomboe nyumba yake iliyokuwa ipigwe mnada kwa kutolipa deni. Tangia hapo msamihati wa --------- ukakoma kinywani mwake!

Dp yeye na Kanisa pia yeye hapo mlaji ni nani kati yake na hao wachaga big 8?
 
Yani tangu nazaliwa hadi leo niko miaka ya thelathini na ushee namsikia mtikila akiwa mwenyekiti wa DP tu. Hapo anatuambia nini?
 
Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,

Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,

Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,

Naona wanafanana na Dk Slaa
 
Chadema ni saccos ya wachaga,mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ni edwin mte,makamu mwenyekiti ni mzee ndesambulo,katibu mkuu ni freeman mbowe,mweka hazina lilian mbowe mtei,wajumbe,ni lucy owenya,grace kihwelu,dr.slaa ni quas partiner tu,hao mbulula wengine,ni wadandia meli tu.
 
Ili kuondoa dhana hii ambayo imetawala kwa vichwa vya watz wengi kuwa CDM ni chama cha ukabila, wazo langu naomba MBOWE & SLAA wawapishe watu wengine au mmojawapo aachie ngazi na huyo atae shika nafac ya aliyejiengua km SLAA au MBOWE asiwe MCHANGA, kidogo watz wanaweza kuwaelewa nini mnafanya

Kwani Slaa Mchaga?
Kwa hiyo viongozi wote wa Chadema ni wachaga?Hoja Muflisi kabisa hii!
 
CCM ni CHAMA CHA WAISLAMU

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),

1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu
 
Back
Top Bottom