Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

THAT'S THE NON SENSE AND STUPIDY OF MR C.MTIKILA AND IT'S NGO,FUFUA CHAMA CHAKO MCHIKICHINI KIKO HOI KINA KUFA ACHANA NA CHADEMA,Bu..shits
 
Du!!! yaani na yeye ndio kaona apate nafasi ya kutoka, naona amesahau alivyopigwa mawe kule Tarime kwa kutaka kuihusisha CHADEMA na kifo cha Chacha Wangwe.
 
Paul Kagame alisema Mch.Mtikila ananuka damu, bila shaka ukweli umeanza kuonekana!
MUULIZE KAGAME ARUDIE HAYO MANENO, aliposema(mtikila) hawa jamaa wana mpango wa kupanua bahima empire hakutiliwa maanani mpaka walipoanza chokochoko ndani ndio mkapeleka majeshi kuwaondoa drc nani aliona hilo na kulisemea?
 
[h=2]Ukiisoma habari hii hapa chini iliyowakilishwa na Pasco utagundua Mtikila ni MWEHU na hastahili kuwa miongoni mwa watu wanaotakiwa kusikilizwa na hata kuaminiwa katika jamii

icon1.png
Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100![/h]
Katika pita pita zangu mchana wa leo jiji Dar es Salaam,
Nimekutana na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila katika ofisi fulani, yeye kaja na yake, nami na yangu hivyo tukaa waiting room pamoja kumsubiria mwenyeji wetu.

Kwanza kwa ule uafrika wa kawaida mtu ukifika mahali na ukakuta watu, its normal kuwasalimia ndipo unakaa!, Mchungaji Mtikila aliingia tuu na kukaa huku tunaangaliana!, hata bari hakuna!. Kwa vile yeye ni public figure, nikamsalimia kwa jina lake, huwezi amini alinichangamkia sana na tukaanza kuchat.

Kwanza nilimuuliza kwa nini wapinzani hawaungani?.
Jamaa alishusha nondo nzito kwa kubonda wapinzani wote kuwa Tanzania, hakuna mpinzani yoyote isipokuwa ni yeye tuu!, tena kuhusu Chadema, ndio usiseme kabisa, eti ni afadhali ya CCM!. Alisema mengi kwa lugha kali na matukano kibao, huku akizungumza kwa sauti ya juu, ofisini kwa watu!.

Nikamsisitizia, kwa vile chama tawala ni CCM, vingine vyote ni upinzani, jee haoni kuikandia Chadema na CUF at this time ya kuelekea uchaguzi mkuu ni kuikampenia CCM kwa mlango wa nyuma?, au ameshikishwa kidogo dogo?!.

Jamaa aliwaka sana akasema CCM imshikishe nani pesa, hapa nilipo, japo sina pesa ila nimekataa hongo ya milioni 100! toka kwa ....(akamtaja jina....) naomba nilihifadhi ili kuilinda hadhi ya JF, maana huyu mtu kwa JF, ni "mtakatifu fulani" sana humu jf, na ni mmoja wa waheshimiwa wetu kitaifa, hivyo anaheshimiwa sana tuu humu jf!

"Niligundua kuwa ... (akamtaja) ni muuaji, anatoa pesa kutuma assasins kutekeleza mauaji mbali mbali na kisha kufake accidents!, alitoa shilingi milioni 120 kuwapa Wakenya fulani wawili kumuua ...(akamtaja..), ushahidi ninao!.

Mtikila akaendelea kudai kuwa, Mfanyabiashara huyo tajiri alipomgundua siri yake ya mauaji imefichuka, kwanza alimuita kwenye(Mtikila) kwenye moja ya vitega uchumi vyake (akataja siku, muda na mahali) akampa offer ya hongo ya Sh. Millioni 10 ili afute jina lake kwenye dossier ya wauaji. Mtikila akamkatalia.( Akimaanisha analo andiko hilo la mauaji!).

Mara ya pili (tajiri) huyo alimuita ofisini kwake, (akataja siku, muda na osisi ilipo!) akapanda dau toka ile milioni 10! mpaka milioni 50!, bado Mtikila alizikataa!. Ndipo tajiri huyo akamuita Mtikila nyumbani kwake (akataja siku, muda na eneo nyumba ilipo!) akampa offer ya Sh. Millioni 100!. Ndipo Mtikila alimkubalia kwa shurti ya tajiri huyo, kwanza ampigie magoti yeye Mtikila na akiri dhambi zake, na pili atubu kwa Mungu, Mungu akishamsamehe ndipo yeye Mtikila, ataipokea hiyo pesa kama asante yake!.
.
Tajiri akagoma kukiri na akagoma kutubu!. Ndipo Mtikila akasimama akatoka nje!, ila anadai kila kitu amerekodi kwenye digital sound recorder yake, na sasa anasubiri tuu time muafaka ili amlipue!.

Ila pia Mtikila alikiri kupokea kitita cha fedha, milioni kadhaa kutoka kwa Rostam Aziz, akisema ni kweli nilikuwa na shida, nikaenda kukopa, ila nilipozipata fedha za kulipa, nilimpelekea ili nilipe, akakataa kuzipokea, hivyo deni ameshalipa sasa zimegeuka sadaka.

Nikamuuliza yeye kama mtu wa Mungu, anajua wazi ufisadi wa Rostam, anakwendaje kwake kukopa, hivi hizo sio sehemu ya pesa chafu za Kagoda?. Alijibu kuwa pesa hata ziwe chafu vipi, zimeibiwa au za madawa ya kulevya, ukizitumia kutenda wema kama basi pesa hizo zinakuwa zimesafishika nna kutakasika, hivyo ni pesa safi kwa sadaka.

Na baada ya maelezo yote haya ya kukataa hongo ya milioni 100!, Mchungaji Mtikila alimalizia kwa ...(nakihifadhi) ili ndio uthibitisho kuwa he is not normal!.

My Take.
Mtikila is insane. Ningekuwa ni mwandishi wa habari, hayo aliyoyasema nikayaandika gazetini na majina yao, kesho yake mimi na gazeti langu tungeishia mahakamani for defamation!.

 
Mtu huzungumza yaliyoujaza moyo wake.....kwa kuwa ni mchungaji bila shaka anauelewa msitari huu wa kwenye bible.
Mtikila na Mkewe ndio hupanga mipango na sera za DP chumbani....that's is why simshangai kwa kauli yake because ndio yaliyoujaza moyo wake!
 
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI

"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"

Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"

WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania

KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!

Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,

Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"

Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013

Ndugu umejidhalilisha sana kuwakilisha mawazo ya MTIKILA na kuyapa kipaumbele kwa hiyo na wewe umeingia kwenye kundi la vichaa ambao kwa lugha ya kiuni tunawaita MENTAL FRESH
 
'Kama CCM wanasema kuwa CHADEMA ni chama cha Kikristo na cha Kaskazini, Basi tuseme kuwa CCM ni chama cha Pwani na Cha kiislamu?

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itika...ni na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu''

Na Katika Kamati kuu ya CCM yenye Wajumbe 32 Wakristo ni 9 tu.Ndio maana SHEKH ILUNGA anatangaza kuuawa kwa MAPADRI na hakamatwi.Nahisi kuna ajenda ya Kusilimisha Nchi.
 
Naipenda sana c.c.m ila s kwa sababu Rais wangu n din yangu nachukia sana udin nanawachukia wote wanao eneza udun MUNGU IBARIK TANZANIA
unamjuam vizuri anae eneza udini, ccm kama ingesimamia misingi kwa kuundwa kwake kwa dhati tusingefika hapa tulipo, kwa mapenzi yako yameingia upofu badala ya kufoka unajifanya huoni nani anaeneza siasa za majitaka
 
Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,

Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,

Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,

Tulia wewe kuwadi wa sebuleni, mtachelewa sana, utasubiri sana maisha yako yote hutaingia chumbani, Tulia hapo hapo sebuleni tukutumetume chai
 
Back
Top Bottom