pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
Pichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya Morocco (Kinondoni) daladala zinazotoka maeneo ya Shoppers/Kawe/Msasani zinasimamishwa na Askari kisha kondakta anashuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti.
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa. Picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha. Picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa. Picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha. Picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti