Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Nyie wanawake wa Tanzania hususani huko Instagram fuateni mifano ya wanawake wenzenu wanaojielewa kama Jackline Ntuyabaliwe na Faraja Nyarandu na Nancy Sumari.. Hawa wadada nawapenda sana, hawanaga scandal uchwara na wametulia wanafanya maisha yao...
Hakuna Tabia inayonikera kama hawa wadada wa mjini wanaojiita team Wema mara team kajala na team lulu.. Hivi hao watu wana tabia gani njema mpaka wawe na wafuasi?? Na hao wafuasi wana kazi za kufanya au ndo iyo ya kusifia na kutukanana huko instagram kutwa nzima?? Mbona sijawai sikia team kylin wala team sumari??? Niliingia huko instagram kwa mashinikizo kadhaa ila ilibidi niblock huo uchafu sijui wema, lulu block wote hao.. Hawana post za maana zaidi ya kupiga makalio yao na kuyaweka tuyasifie.. Shupid
Naomba kuwasilisha...
Hakuna Tabia inayonikera kama hawa wadada wa mjini wanaojiita team Wema mara team kajala na team lulu.. Hivi hao watu wana tabia gani njema mpaka wawe na wafuasi?? Na hao wafuasi wana kazi za kufanya au ndo iyo ya kusifia na kutukanana huko instagram kutwa nzima?? Mbona sijawai sikia team kylin wala team sumari??? Niliingia huko instagram kwa mashinikizo kadhaa ila ilibidi niblock huo uchafu sijui wema, lulu block wote hao.. Hawana post za maana zaidi ya kupiga makalio yao na kuyaweka tuyasifie.. Shupid
Naomba kuwasilisha...