Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

Tunajaribu Saana Kuwafunika funika Wana Utopolo Lkn Waaapi Lazima Mjionyeshe Kuwa Nyie ni Hamnazo..!

Manara Aliimaliza Kesi Yenu.!
Wenye Akili hawazidi Wawili huko
Akili ya kubeba makombe!
 
Serious kabisa mtu anaanzisha uzi kama huu,nchi ina safari ndefu sana.
Acheni usimba na uyanga.
Lofa huyo. Si wa upande ule ambako wenye akili ni wawili tu. Usishangae kusema hayo. Hayuko peke yake, soon utauona mnyororo wao wote wakisema kitu kimoja hicho hicho. Ushamba bwana kitu kibaya sama.
 
Nyie mnaotukana hadi wazazi wa mtu, mnakosea sana. Aliyeandika hapa ni mzazi wake?
Mambo ya ushabiki yasifike kutoa utu wa mtu, hata kama unatumia ID fake.
Kutukana siyo kwamba ujanja. Ni ukosefu wa heshima na akili.
Jibu hoja kwa ushabiki aliouandika si matusi.
Acha ayaoge ameyataka mwenyewe nadhani angekuwa wa Simba pia angeongea huu upupu angeyaoga..
 
Manara alikuwa sahihi, na bado yuko sahihi.

Hapo yanga ni mzee kikwete na Sunday manara tu.

Wengine woote plus mtoa post nati zilifyatuka kitambo
 
Simu ni yako,,, maoni ni yako,,,bando la kwako,,maisha ni yako,,,Sisi ni kina Nani tukupangie,,,endelea tu na utaratibu wako!!
 
Tukiwasema yule mzee wenu anapanic ..

Eti ni usalama wa taifa anaweza kufika ikulu anything anytime....kwa panic mpaka anakosea kingereza
20230324_193043.jpg
 
Matusi ni kitu pekee kimebaki kwa Makolo hivyo waje tu maana sisi Yanga tuna makombe hata watukane Ukweli wanaujua!
Masikini akipata makalio hulia mbwata.
Kipofu kaona mwezi......
Hivi maneno ya Haji ni kweli eee!!! Hawazidi wawili wengine wote weupeee🙆🙆🙆
 
Acha ayaoge ameyataka mwenyewe nadhani angekuwa wa Simba pia angeongea huu upupu angeyaoga..
Mtani kuyaoga yeye ni sawa, si kuingiza mzazi. Mambo ya ushabiki kutukana wazazi si sawa. Hata matusi si sawa. Kuna maneno mengi ya kishabiki, unaweza yatoa na yakamuingia.
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Sio muhimu sana mkuu.Mchezaji yeyote anayevaa bendera ni mali ya taifa bila kuangalia club after all huko tumeshahama kitambo
 
Mtani kuyaoga yeye ni sawa, si kuingiza mzazi. Mambo ya ushabiki kutukana wazazi si sawa. Hata matusi si sawa. Kuna maneno mengi ya kishabiki, unaweza yatoa na yakamuingia.
Nakupenda mtani wangu Bantu Lady .. ila huyu mwache tuu ayaoge my dear...huyu nyuzi zake huwa ni za kukera...
Ni kweli ya wazazi hayana afya ila ya kumchamba yeye wacha achambwe..
 
Back
Top Bottom