My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Hapana Yapo mengi tu kama haya huko US, Fuatilia wanaitwa (PEDO) Pedophile you can google .Hakuna nchi duniani ina well developed pornography industry kama USA 🇺🇸 mbona hizi kesi hakuna? Mi nadhani ni USHIRIKINA na si kingine
nani akujibu hili swali mkuu?Hao watu wanaowabaka watoto hivi wanakuwaga hawana watoto?
HAMNA SHIDA. MUHAMAD MTUME ALIOA MTOTO WA MIAKA 9Hao watu wanaowabaka watoto hivi wanakuwaga hawana watoto?
NGUVU ZILIZOTUMIKA MBEYA ZINGETUMIKA KATIKA KUKABILIANA NA WAHALIFU WA MATUKIO HAYA TUNGEKUWA MBALIMwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.
Soma Pia: Mbeya: Mtoto wa darasa la nne shule ya msingi Mkapa alawitiwa na mwenzie wa darasa la saba
Chanzo: Azam TV
Hakika.Huo ndiyo ubinaadam sasa, wanyama huwa hawana mambo ya kishenzi kama hayo
Tutazuia vipi ilhali waliopewa dhamana wanabariki haya matukio, kuna binti umri wa miaka 7 alibakwa na kulawitiwa huko kiwalani wiki 3 zilizopita na polisi buguruni ndo walikuwa mstari wa mbele kusaidia mtuhumiwa na wazazi wake namna ya kukwepa mkono wa sheria na ikibidi kesi iwageukie wazazi wa binti, hii serikali mfu imeoza hata funza hawaitamani tenaKinachotisha ni kwamba, ukifikiria tunawezaje kuzuia haya matukio unakosa majibu.
SanaDah, kuna mambo yanatia hasira sana hakika ni unyama na ukatili sana
Kitoto cha umri huo mtu ana pata raha gani kufanya ivyo .au ndo udomo zege