Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
-Buffering-
Sijakuona siku nyingi dada..ulikuwa wapi?..
Halafu tunalalamika maisha magumu..laana kama hizi mungu hata milango ya riski anaifunga
Nashukuru kwa kuni acknowledge tedo... Mambo tu ya nje ya jf yalibana ila sasa nipo hapa. Mzima wewe? Unasemaje kuhusu hii topic juu maana mie nimeishiwa maneno.
Makubwa haya kha!!!!!
Hivi Zimbabwe nako kuna wangoni?