myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hiyo habari ni ya kushtua na kushangaza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alizikwa akiwa na miaka 6 amefufuka sahivi ana miaka 11Naomba unieleweshe;
-alizikwa akiwa na miaka 11?
-na baada ya miaka 5 amefufuka.Je,muonekano(umri)ni uleule wa miaka 11 au amebadilika na kuwa wa miaka 16?
Akili yangu nyembamba imekwama kuelewa hapo.
Kwakifupi nikwamba unapokufa time linakuwa stoped to you. Ye kafufuka na umri uleule ila kakuta dunia ishasepa kwa miaka mitano mbeleNaomba unieleweshe;
-alizikwa akiwa na miaka 11?
-na baada ya miaka 5 amefufuka.Je,muonekano(umri)ni uleule wa miaka 11 au amebadilika na kuwa wa miaka 16?
Akili yangu nyembamba imekwama kuelewa hapo.
Time travel is real[emoji23]Kwakifupi nikwamba unapokufa time linakuwa stoped to you. Ye kafufuka na umri uleule ila kakuta dunia ishasepa kwa miaka mitano mbele
Pale unapo jaribu kuelezea kisayansi swala la kishirikinaKwakifupi nikwamba unapokufa time linakuwa stoped to you. Ye kafufuka na umri uleule ila kakuta dunia ishasepa kwa miaka mitano mbele
Umeona kamanda wa polisi akitajwa kwenye habari kuanzia mwanzo hadi mwisho?Kunywa maji punguza hasira harafu rudi ufikirie kuwa pichani ni kamanda wa polisi nasi huyo mtoto.
Ilipoishia sayansi ndipo uchawi ulipoanziaPale unapo jaribu kuelezea kisayansi swala la kishirikina
Ila pichani ni picha ya kamanda sema chanzo cha habari ndio hawakurejea picha ya mtu husika.Umeona kamanda wa polisi akitajwa kwenye habari kuanzia mwanzo hadi mwisho?
Yalipoishia mawazo yako kutafakari vitu complex ndipo idea ya uchawi inapo anziaIlipoishia sayansi ndipo uchawi ulipoanzia
Nimecheka kama mazuri vileUjinga mtupu, either hakufa au hakufufuka. Na mbona huyo mtoto amevaa kofia ya polisi na anaonekana ni mtu mzima?
Mwingine huyu huku,naye alifufuka,uzuri yeye anaongea Video: Marehemu afufuka baada ya miaka 14UCHAWI UPO SIO BURE ILA SERIKALI HAIAMINI KATIKA UCHAWI
Kwahiyo ukizikwa unaendelea kukua! Waliofariki miaka 20 iliyopita wakiwa na umri wa miaka 90 leo umri wao ni miaka 110! Happy Birthday to you all.Alizikwa akiwa na miaka 6 amefufuka sahivi ana miaka 11
Sasa tuamini picha au tuamini habari? Mimi naamini habariIla pichani ni picha ya kamanda sema chanzo cha habari ndio hawakurejea picha ya mtu husika.
YA DUNIA MENGI KIUKWELIMwingine huyu huku,naye alifufuka,uzuri yeye anaongea Video: Marehemu afufuka baada ya miaka 14
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Hapa umepata uhakikisho wowote kuwa kuna uchawi?Aya wale watu wanaobisha uchawi haupo waje
Maajabu#HABARI Leonard Morisha (11), mkazi wa Kijiji cha Ngemo, Mbogwe mkoani Geita, aliyefariki dunia na kuzikwa Juni 27, 2017, anadaiwa kufufuka baada ya Oktoba 2020 kuonekana wilayani Kahama na wazazi wake wamempata Desemba 12, 2021 akiwa amekatwa mishipa ya ulimi na hawezi kuongea. https://t.co/LJiMPb5A9CView attachment 2047247