Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Sasa kwanini hukujiuliza maswali ya msingi ya kwamba kwanini akusudiwe mtoto huyo huyo na si mwingine ?

Au unafikiri hao wamekurupuka kama ulivyokurupuka wewe kwenye kuhoji ?

Weka mfano wa hizo records kisha nikuulize maswali.

Unajua Uchawi ni nini kwa maana ? Au unakataa jambo usilo kuwa na elimu nalo ? Huu ni uhayawani.

Unaweza kuthibitisha unachokidai ?

Hili halibatilishi uwepo wa tukio husika. Jikite kulikosoa tukio hili na utuonyeshe kutowezekana kwake au kinyume chake.
Hilo kwangu sio swali la msingi, ni moja ya swali la kipumbavu tu, Kwasababu ambiguity ni tukio na sio mtoto. Kwa maana hiyo hata wangekuja na hoja ya paka au umbwa ningewabishia tu

Ndio wamekurupuka na hata nyinyi mnao support mnaingia kwenye kundi hilo, na wengi mnajadili mambo kihisia badala ya facts.

Kwanza wewe ume affirm vipi kua hilo tukio ni la kweli?
 
Kumbuka wameenda na polisi. Ktk polisi kuna kitengo cha kupambana na Fraud (Udanganyifu). Polisi wachome mafuta kwa habari ya uongo? Hayo mambo yapo sana. Shukuru tumezaliwa town hayo mambo hayapo kiasi kikubwa
Polisi unawapa dhamana, yani hawa hawa ambao walidai kua ni kweli mwizi aliyekuja kituoni kulalamika mzigo umegoma kutuka ni ukweli kua mzigo huo ulikataa.

Tulimsikia yule mwizi akihojiwa kua lile lilikua ni tukio la kupangwa na sio kweli kua mzigo uligoma kushuka nilchokua nakifanya wakati wanajaribu kuutoa ule mzigo ni kulia sana kuonesha kama napata maumivu makali ili wasiendelee kuutoa mzigo

Bado tu unaendekea kuwapa dhamana hao polisi?
 
Hilo kwangu sio swali la msingi, ni moja ya swali la kipumbavu tu, Kwasababu ambiguity ni tukio na sio mtoto. Kwa maana hiyo hata wangekuja na hoja ya paka au umbwa ningewabishia tu
Huu ni utoto nwingine nimekuuliza swali asisemwe mtoto mwingine au kinyume chake ?

Hilo tukio msingi wake ni mtoto na si kinyume chake sababu au mfano wa paka haingii katika jinsi ya tukio hilo. Hapa umedhihirisha ujinga wako juu ya kadhia hii.

Ndiyo maana unakiri kwamba ungebisha sababu huna elimu juu ya jambo hili. Mbwa au Paka hachukuliwi msukule kijana. Ndiyo maana amekuwa ni binadamu tena mtoto na si mnyama ambaye ni paka au mbwa.
Ndio wamekurupuka na hata nyinyi mnao support mnaingia kwenye kundi hilo, na wengi mnajadili mambo kihisia badala ya facts.
Mpaka muda huu umeonyesha udhaifu katika kuhoji na huna facts juu ya hili mpaka unakufa kwa sababu hujui hakika ya haya mambo.

Yaani ulichokihoji hapa ni sawa umkute mbwa juu ya mti. Na kuacha kujiuliza amepandishwa na na ukahoji amepandaje,hii inaonyesha humjui mbwa na hakika yake,ndicho ulichokifanya katika tukio hili.
Kwanza wewe ume affirm vipi kua hilo tukio ni la kweli?
Nimethibitisha tokana na mtiririko wa habari ulivyo jitosheleza na unaenda sawia na uhalisia.
 
Wajinga muache kuwa nyinyi mnaosema mtu kafufuka na kaburi liko sealed niwe mimi naye pinga?
Shida unapinga kibubusa yaani pasi na elimu.

Mimi mwenyewe sikubali kama amefufuka ila nakubali kwamba uchawi ulichukua nafasi na huyo mtu kiuhalisia hakufa ila alichukuliwa kimazingara sababu mtu akifa amekufa.

Shida yako huwa unapinga mambo usiyo yajua ndiyo maana unaonekana mjinga sana na ni kweli umjinga na hii ndiyo stahiki yako.
 
Hilo kwangu sio swali la msingi, ni moja ya swali la kipumbavu tu, Kwasababu ambiguity ni tukio na sio mtoto. Kwa maana hiyo hata wangekuja na hoja ya paka au umbwa ningewabishia tu

Ndio wamekurupuka na hata nyinyi mnao support mnaingia kwenye kundi hilo, na wengi mnajadili mambo kihisia badala ya facts.

Kwanza wewe ume affirm vipi kua hilo tukio ni la kweli?
Dogo elimu ya mzungu amekuharibu kichwa unakuaga na ubishi hadi una kera, hii ni habari ya kwanza kusikia kuhusu mtu kufariki mazishi yakafanyika baadae akaja kuonekana ?
 
MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA.

Mtoto Leonard Morisha Mwenye umri wa Miaka 11 Mkazi wa kijiji na kata ya Ngemo wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita aliyefariki June 27 ,2017 katika hospitali ya Geita amefufuka baada ya kuzikwa kwa kipindi cha miaka 5 mpaka kufufuka kwake huku ikidaiwa kukatwa ulimi.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Henry Mwaibambe amesema mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka.

Kamanda amesema mtoto huyo baada ya kuonekana katika Maduka hayo alikuwepo mlinzi katika Maduka hayo aitwae Emmanuel Busiga alimchukua na kumpeleka kwao badae alifikisha taarifa katika uongozi wa kijiji.

"Mtoto huyo ana afya njema lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi katika kituo cha afya cha Masumbwe alibainika kukatwa ulimi kwa kiwango kikubwa mishipa ya ulimi wake na kusababisha ashindwe kuongea, " Mwaibambe.

Mwaibambe amesema baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la polisi lilipata kibali kutoka katika Mahakama kwa ajili kufukuwa kaburi lake ambalo mtoto huyo alikuwa kazikwa na kukuta kaptura pamoja na suruali ya Baba mzazi wake aliyefariki mwaka 2019.

#KitengeUpdatesView attachment 2047442
Mbona enzi za magu haya mambo yalipungua?
 
Huu ni utoto nwingine nimekuuliza swali asisemwe mtoto mwingine au kinyume chake ?

Hilo tukio msingi wake ni mtoto na si kinyume chake sababu au mfano wa paka haingii katika jinsi ya tukio hilo. Hapa umedhihirisha ujinga wako juu ya kadhia hii.

Ndiyo maana unakiri kwamba ungebisha sababu huna elimu juu ya jambo hili. Mbwa au Paka hachukuliwi msukule kijana. Ndiyo maana amekuwa ni binadamu tena mtoto na si mnyama ambaye ni paka au mbwa.

Mpaka muda huu umeonyesha udhaifu katika kuhoji na huna facts juu ya hili mpaka unakufa kwa sababu hujui hakika ya haya mambo.

Yaani ulichokihoji hapa ni sawa umkute mbwa juu ya mti. Na kuacha kujiuliza amepandishwa na na ukahoji amepandaje,hii inaonyesha humjui mbwa na hakika yake,ndicho ulichokifanya katika tukio hili.

Nimethibitisha tokana na mtiririko wa habari ulivyo jitosheleza na unaenda sawia na uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya pili na saizi nawekea mkazo

Mwanzo nilisema swali lako ni la kipumbavu kwasababu halina mantiki na saivi umelirudia tena basi wewe pamoja na hilo swali wote ni wapumbavu

Nimekuambia najadili ambiguity ya hiyo habari, na ambiguity sio mtoto ni tukio (kufa na kufufuka)

Mfano wako wa mbwa unaonesha jinsi gani wewe ni mweupee kwenye mambo mengi, mbwa anaweza kuwa trained akapanda juu ya mti na kufanya vitu vingi hadi kutumwa sokoni
 
Dogo elimu ya mzungu amekuharibu kichwa unakuaga na ubishi hadi una kera, hii ni habari ya kwanza kusikia kuhusu mtu kufariki mazishi yakafanyika baadae akaja kuonekana ?
Unazungumzia ugeni wa hizi habari au unazungumxia uhalisia wa hizi habari?

Kuna vitu viwili hapo usije ukachanganya

Kiukweli habari kama hizi sio ngeni na hata majibu yake ni yale yale ambayo nimeyatoa hata hapa

Juzi kuna habari ilizuka kuonesha mama kajifungua kalungu yeye, kama kawaida ya great thinkers wakasema ni uchawi japokua ile habari somehow iliambatana na majibu ya vipimo vya daktari aliyethibitisha kua huyo mama hakuwahi kua na mimba still watu walimpuuza daktari na kuamini ile habari

Mama alisema amejifungulia chooni, huko chooni alikua peke yake, hivi wewe ulitaka uthibitisho wa namna gani kukubaliana na ile habari kama vipimo tu vilikataa?
 
Mfano wako wa mbwa unaonesha jinsi gani wewe ni mweupee kwenye mambo mengi, mbwa anaweza kuwa trained akapanda juu ya mti na kufanya vitu vingi hadi kutumwa sokoni
Katrain Mbwa kisha apande juu ya mti. Hili mosi.
Nimekuambia najadili ambiguity ya hiyo habari, na ambiguity sio mtoto ni tukio (kufa na kufufuka)
Nikakwambia tenganisha msingi wa tukio na mtoto unaruka ruka ukatolea mfani wa mbwa au paka na habari iko wazi kwamba walivyofukua kaburi hawakukuta athari ya huyo mtoto zaidi ya nguo za baba yake ? Maana yake mtoto hakufa,sasa unapoleta ujuaji kwenye hakuna unaonekana kituko.
Mwanzo nilisema swali lako ni la kipumbavu kwasababu halina mantiki na saivi umelirudia tena basi wewe pamoja na hilo swali wote ni wapumbavu
Unaendelea kuonyesha ujinga wako vipi swali kwa dhati yake ulinasibu na tamko la "wapumbavu" ? Chenye akili ndiyo kinanasibishwa na sifa hiyo na si "swali". Huu ujinga mwingine na kukurupuka kwako.
Narudia tena kwa mara ya pili na saizi nawekea mkazo
Nimekuoa kazi mtenganishe huyo mtoto na hilo tukio kama unaweza.
 
Hapa tunapata matumaini kama Geita wanafufuka bila shaka na jamaa yetu wa Geita atafufuka.
NB: Nazungumzia Wilaya ya chato
 
Sisi wajinga tuelezee wewe msomi nini kilitokea
Hawezi kufanya hivyo hapa nimempa kazi amtenganishe huyo mtoto na hilo tukio mpaka anakufa hataweza analeta habari za mbwa au paka kisha kwa ujinga wake anajinadi kabisa kwamba angebisha hata angeambiwa ni paka au mbwa.

Ukimuuliza Uchawi ni nini ? Anasema hakuna Uchawi. Wajinga wa hivi huwa nawaona humu jf. Katika Wajinga ninao wajua mimi na ambao naweza kuthibitisha ujinga wao humu ndani wa kwanza ni Kiranga na wa pili huyu,yaani wanabisha kwa mambo wasiyo yajua kabisa.
 
Back
Top Bottom