Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Kinachofanyika ni mazingaombwe ambao wachawi wanafanya wakati wa kuzika mnaona mnamzika marehemu kumbe wanga washamchukua wanaenda kumfanyisha mikazi huko cku akitoroka huko ndyo hvyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufa na kufufuka ndio premise ya mjadala

Nambie hapo nafasi ya mtoto iko wapi?

Ukishasema haiwezekani kilichokufa kikafufuka hautahitaji kujua hicho kitu kama ni mtoto au mbwa au nguruwe au kitu gani as long as ume hold premise ya hivyo vitu viwili.
Kwanza jibu swali nililo kuuliza.

Na ulipo sema hakuna uchawi ulijua unachokiandika ?
 
Hivi neno usuli ni kiswahili fasaha au umeandika kwa accent ya kimasai?
Kiswahili fasaha hiki. Tafuta katika Kamusi yoyote ya Kiswahili hukosi tamko hili.

Usuli maana yake msingi ni tamko la asili ya Kiarabu.
 
Tricks haihusishi supernatural powers ni ujanja ujanja tu wakum-misdirect mtu ashindwe ku focus kwenye uhalisia wa kitu na arubunike na huo ujanja wako.
Nimecheka sana halafu unajadili Uchawi na maana nimekuwekea lakini bado uchawi ni mbinu kijana maalumu na ni elimu maalumu lazima ujifunze.

Kingine hapa machoandila ni uhalisia hakuna ujanja ndiyo maana nimeweka maana ya Uchawi na marejeo yake.
Kwanini nimeita uchawi ni trick, lengine unaweza ukafurahia ukaona nimekubaliana na maana ya uchawi ambayo wewe unaikusudia.
Sasa unakataa kama hukusema ni tricks ? Sasa elezea kama hilo tukio si uchawi. Ukiweza naacha kujadiliana huu mjadala.

Yaani unakataa kama jambo si uchawi na unashindwa kuthibitisha kinyume chake.
James randi alikua ni moja ya watu walioitwa wachawi (magician) na yeye hakuwahi kuwa mchawi wala kuamini uchawi.
Hiyu alikuwamjinga ulivyo na alikuwa hajui maana ya uchawi au alikuwa anapinga kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kama unajua kuna mazingaombwe yale au ile ni katika aina ya uchawi.

Mfano wako ni kama mfano wa Wakristo wanao dai ya kuwa wao si Washirikina maisha yao yote lakini matendo yao ni ya kishirikina,ukirejea katika maana ya Ushirikina kwahiyo watu wa aina hiyo wapo unakuta miaka na mikaka wanafanya jambo lakini hawajui kama ni jambo fulani na hubisha pia.
Kilichofanya watu wamuite mchawi ni zile tricks zake alisokuwa aki perfom na watu wakiwa deluded wanajikuta wanamuita mchawi.
Walio kuwa wanamuita mchawi wanajua uchawi ni nini ila yeye kwa ujinga wake alikataa,haya yapo. Halafu unakuta mtu huyo huyo alikuwa hajui maana ya uchawi.
Kwa hiyo mpaka hapo nikikuambia uchawi ni tricks unaweza kukubaliana na jibu langu kua ndio hiyo maana ambayo nawewe unaikusudia isiyohusisha mambo ya supernatural powers?
Unauliza maswali ya kitoto na maana za uchawi nimekuwekea hapo juu.
 
Ujumbe huuUCHAWI UPO SIO BURE ILA SERIKALI HAIAMINI KATIKA UCHAWI
Wengi huwa hawaelewi kuna sheria ya uchawi Tanzania ya mwaka 1936 the witchcraft Act
Shida ni mashahidi kwenda mahakamani kutoa ushahidi dhidi ya hizo tuhuma
 
ninaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
Leta uzi tujue maisha ya Gamboshi afu miaka hiyo ndo hv vitu vilishamiri sana unamkumbuka dokta manyau nyau kwenye kipimdi cha EATV alikuwa anadili na hawa wachawi wanaowachukua watu kimiujiza
 
ninaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
Unitag na mm napenda hizo stori
 
Kwanza jibu swali nililo kuuliza.

Na ulipo sema hakuna uchawi ulijua unachokiandika ?
Pengine hata rangi ya jibu huijui

Kufa na kufufuka ndio premise ya mjadala

Nambie hapo nafasi ya mtoto iko wapi?

Ukishasema haiwezekani kilichokufa kikafufuka hautahitaji kujua hicho kitu kama ni mtoto au mbwa au nguruwe au kitu gani as long as ume hold premise ya hivyo vitu viwili.
 
Sasa wewe mbona umeshindwa kutafakari mada rahisi sana kama hii na ukaona ya kuwa anuani ya mada na kilichomo kwenye mada ni upotoshaji na ukashindwa kujua ya kuwa mpaka jambo limetangazwa ni kwamba wapo waliojitokeza ya kuwa wanamjua huyo mtoto ndiyo maana wamethibitisha ya kuwa alifariki.

Sikutukani ila una akili ndogi sana. Huwezi kung'amua haya mambo.
Kwani hauwezi kuwa na kundi linalopanga uongo na ukatangazwa na waongo!
Nakushauri, ishi hivyohivyo usiuachie ujinga.
 
Nimecheka sana halafu unajadili Uchawi na maana nimekuwekea lakini bado uchawi ni mbinu kijana maalumu na ni elimu maalumu lazima ujifunze.
Na ndio maana nimekuambia namna ambavyo wewe unau define uchawi ni tofauti sana na mimi navyo uelezea. Hata tricks nazo zinafundishwa na kuna hadi maduka yanayouza tools kwa ajili ya kutumika kwenye perfomance za magic tricks.

Hiyo maana yako ya uchawi yenye kuhusisha supernatural power unaweza kuthibitisha uchawi huo upo?
Kingine hapa machoandila ni uhalisia hakuna ujanja ndiyo maana nimeweka maana ya Uchawi na marejeo yake.
Ebu thibitisha uhalisia wa hizo supernatural power
Sasa unakataa kama hukusema ni tricks ? Sasa elezea kama hilo tukio si uchawi. Ukiweza naacha kujadiliana huu mjadala.
Nani kakataa kua sikusema ni tricks?

Kabla sijaelezea ningeomba uangalie hii video halafu wewe sasa ndio unielezee hili jambo kua lipo katika muktadha wa kichawi au sio uchawi


Hiyu alikuwamjinga ulivyo na alikuwa hajui maana ya uchawi au alikuwa anapinga kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kama unajua kuna mazingaombwe yale au ile ni katika aina ya uchawi.
Unaelewa james randi ndiye aliyeweka dollar milion moja kwa yeyote atakayeweza kuthibitisha uchawi upo na hakuna aliyeweza?

Unaelewa offer hiyo haikua ya siku wala miezi bali ni miaka zaidi ya 50 akitafuta mtu mwenye uwezo wa kuthibitisha uchawi upo na hakuna aliyeweza mpaka pale alipokuja ku terminate hiyo challenge?
Mfano wako ni kama mfano wa Wakristo wanao dai ya kuwa wao si Washirikina maisha yao yote lakini matendo yao ni ya kishirikina,ukirejea katika maana ya Ushirikina kwahiyo watu wa aina hiyo wapo unakuta miaka na mikaka wanafanya jambo lakini hawajui kama ni jambo fulani na hubisha pia.
Hili ungejadili na wakristo sasa
Walio kuwa wanamuita mchawi wanajua uchawi ni nini ila yeye kwa ujinga wake alikataa,haya yapo. Halafu unakuta mtu huyo huyo alikuwa hajui maana ya uchawi.

Unauliza maswali ya kitoto na maana za uchawi nimekuwekea hapo juu.
Haya wewe unayejua uchawi thibitisha uchawi huo upo
 
Back
Top Bottom