Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Hapo Kuna kesi gani? Kisheria Kuna kosa gani Mpaka kuhusisha Polisi?
Isije ikatatokea akajitokeza nabii au mganga na kujimwambafai kwamba anahusika na ufufuo huo ili kukuza promotion ya KAZI yake.

Story imekaa kitapeli sana ila imevalishwa koti zito kwa kuficha msingi wa tukio.
 
Scars
siku moja rafiki yangu ambaye wakati huo akiwa mwanafunzi shule ya msingi huko Tarime alikwenda shule kama kawaida na masomo yakaanza asubuhi, ilipofika muda wa break wanafunzi walitoka nje ndipo rafiki yangu alikuta pesa ipo chini eneo la shule na akaiokota,ghafla ikatokea kimbunga ambacho alikiona yeye tu,kimbunga kilikuja na mtu ambaye alikuwa amepanda fisi (ni asubuhi) yule mtu akamwambia yule jamaa apande juu ya fisi na jamaa bila kujielewa alipanda na wakatoweka (ikumbukwe tukio hili hawakiona wanafunzi wengine na ile pesa ilitegwa na dawa so jamaa ikamharibu akili akakubali kupanda fisi)
basi ile fisi ilikimbia speed mpaka Gamboshi,huko gamboshi kuna mapokezi aliwakuta na wenzie wanapokelewa kama yale mapokezi tulipewa wakati tunaanza form one,basi walivuliwa nguo zote hapo na ika planiwa wakatwe ulimi baadae,muda huu jamaa akili imemrudi analia sana na kupigwa,baadae wenzie walikatwa ulimi ila yeye hakukatwa (wazazi wake waliwahi kwa mganga) so ikafika muda wa chakula cha usiku msosi ni nyama ya binadamu imepikwa jamaa alikataa kula akapigwa sana so alilala bila kula siku hiyo,anadai misukule haiongei inaguna guna tu kama bubu na kesho yake asubuhi waliamshwa alfajiri kwenda shamba na anadai wakati wanalima watu walipita ila watu wale hawakuwaona misukule ila misukule pamoja na jamaa yangu waliwaona wapita njia wale na kuna muda unakuta mtu anatembea anaenda anagongana na msukule ila yeye kibinadamu anaona kajikwaa tu,ikumbukwe nature ya ufanyaji kazi ni kama movie ya escape from sobibor yani ukichoka ni kupigwa sana na mnalima kutoka asubuhi mpaka mida ya jioni non stop
baadae walikuwa wakirudi gamboshi huko walikuta uji au ugali na kile ambacho hatuwez kuita mboga ya majani yani ni manyasi yamechemshwa (gamboshi hawali nyama kila siku), ilikuwa ikifika usiku wanajipanga kwenye ungo kwenda makaburini kufufua maiti ambazo zimezikwa recently kwa ajili ya kuzila na zile za zamani zimeanza kuoza walipelekea fisi, daily routine nyingine ni kwenda kuwanga usiku ambapo sheiria inassma ukiingia kwa mtu iba vyakula au kama anakula ule nae na ule pale anapofinya yeye ukizubaa ukate ugali pembeni atagundua na usiibe pesa maana utashindwa kutoka
siku zingine walienda highway kusababisha ajari,hizi ajari mnasikiaga gari zimegongana uso kwa uso huwa ni wachawi wanatega vitu fulani barabarani kati kati then wao wanakaa pembeni,hivo vidude nimevisahau jina ila ni vi living things kwenye dunia ya uchawi na ndivo huangusha gari,gari ikianguka tu wanakuja wachawi na kuchukua maiti na kuondoka (wanaacha migomba,ukitaka uelewe hii relate na huu uzi huyo dogo kwao walimzika kabisa wakidhani ni yeye kumbe sio mwili wake)
siku nyingine wachawi wanaroga mtu akiwa na afya njema kabisa,unaugua weeh,ukikaribia kufa wanakuja kuweka kambi nyuma ya mlango wa nyumba ya mgonjwa na wanakaa hapo mpaka mgonjwa afe,akikata roho tu wanaweka mgomba kitandani na kuondoka na mgonjwa (muda huu anapona kabisa) so nyie mtazika mgomba au wakati mwingine wanawaacha mkamzike ndugu yenu kabisa ila usiku wanakuja kumchukua kaburini kwa kupiga kaburi na ka fimbo then maiti inaibuka (wachawi hawachimbi kaburi) wakiichukua maiti inaenda
jana niliongea kuhusu kuzaliana,sex, wachawi huchukua misukule ya kiume na kuipeleka kwa ya kike ikafanye mapenzi,baada ya miezi tisa vitoto huzaliwa na siku hiyo hiyo vinaenda kuwekwa kwenye moto maalumu kama tunavochomaga nyama choma ila tofauti ni kwamba kuna chombo cha kukinga mafuta ya mtoto mchanga,mafuta hayo jamaa alikuwa anaona wanakuja binadamu wa kawaida ambao alisikia wakiongea ni wafanya biashara wakubwa wanaenda kujipaka mwilini ili kuvutia biashara zao na yanagombaniwa haya mafuta licha ya kuuzwa bei mbaya
unaweza kujiuliza mbona wachawi bado tu hawajamkata jamaa ulimi ? wazazi wake walikuwa wanaenda kwa waganga hivo wachawi wakawa wanasahau na siku wakikumbuka inatokea tu kitu sababu zoezi linashindikana,mpaka hapo ni jamaa tu ndiye alikuwa na ulimi
NB
wazazi wa jamaa walifanikiwa kumtorosha Gamboshi na hii ni true story nilikuwa hadi na kipande cha copy ya gazeti
 
hivo basi kwa kuhitimisha,wale ambao hamuelewi imekuaje huyo mtoto hapo amezikwa na kufufuka ni kwamba alifariki kwa upungufu wa damu ambao likely uliandaliwa na wachawi,hivo basi wakati anaumwa wachawi walikuwepo na alipokata roho waliweka mgomba ambao ndio ulizikwa
na hiyo DNA ya pilisi itaonesha tu mifupa ni ya marehemu kwa maana mgomba ni replica ya muhusika kama tu unapoenda kupiga photocopy
 
Hapo Kuna kesi gani? Kisheria Kuna kosa gani Mpaka kuhusisha Polisi?
Isije ikatatokea akajitokeza nabii au mganga na kujimwambafai kwamba anahusika na ufufuo huo ili kukuza promotion ya KAZI yake.

Story imekaa kitapeli sana ila imevalishwa koti zito kwa kuficha msingi wa tukio.
polisi wamehusika kwa sababu ni walizni wa raia na mali zao, polisi wasipohusika watu wanaweza kuuana na pia kufukua kaburi hata kama ni la mwanao ni process ambayo kisheria lazima ipitie polisi waombe kibari cha mahakama
 
MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA.

Mtoto Leonard Morisha Mwenye umri wa Miaka 11 Mkazi wa kijiji na kata ya Ngemo wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita aliyefariki June 27 ,2017 katika hospitali ya Geita amefufuka baada ya kuzikwa kwa kipindi cha miaka 5 mpaka kufufuka kwake huku ikidaiwa kukatwa ulimi.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Henry Mwaibambe amesema mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka.

Kamanda amesema mtoto huyo baada ya kuonekana katika Maduka hayo alikuwepo mlinzi katika Maduka hayo aitwae Emmanuel Busiga alimchukua na kumpeleka kwao badae alifikisha taarifa katika uongozi wa kijiji.

"Mtoto huyo ana afya njema lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi katika kituo cha afya cha Masumbwe alibainika kukatwa ulimi kwa kiwango kikubwa mishipa ya ulimi wake na kusababisha ashindwe kuongea, " Mwaibambe.

Mwaibambe amesema baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la polisi lilipata kibali kutoka katika Mahakama kwa ajili kufukuwa kaburi lake ambalo mtoto huyo alikuwa kazikwa na kukuta kaptura pamoja na suruali ya Baba mzazi wake aliyefariki mwaka 2019.

#KitengeUpdatesView attachment 2047442
Dogo hendisam sana ~ aliskika maraya mmoja wa Mtandaoni
 
Atakuuliza umejuaje Kama rafiki yako hajakudanganya[emoji23][emoji23][emoji23], Kuna jamaa humu JF aliwahi kutoa ushuhuda alivyoshuhudia wachawi usiku wa manane wakiingia chumbani kwake..nikaona member mmoja kamuuliza tutajuaje Kama hauna matatizo ya akili [emoji23][emoji23]. Hawa jamaa ni wabishi Sana japo ukiwauliza Kama wamewahi kufanya research kuthibitisha uwepo wa uchawi watakwambia hawajawahi ila wanabisha, utaambiwa Kuna mzungu alifanya research.
Scars
siku moja rafiki yangu ambaye wakati huo akiwa mwanafunzi shule ya msingi huko Tarime alikwenda shule kama kawaida na masomo yakaanza asubuhi, ilipofika muda wa break wanafunzi walitoka nje ndipo rafiki yangu alikuta pesa ipo chini eneo la shule na akaiokota,ghafla ikatokea kimbunga ambacho alikiona yeye tu,kimbunga kilikuja na mtu ambaye alikuwa amepanda fisi (ni asubuhi) yule mtu akamwambia yule jamaa apande juu ya fisi na jamaa bila kujielewa alipanda na wakatoweka (ikumbukwe tukio hili hawakiona wanafunzi wengine na ile pesa ilitegwa na dawa so jamaa ikamharibu akili akakubali kupanda fisi)
basi ile fisi ilikimbia speed mpaka Gamboshi,huko gamboshi kuna mapokezi aliwakuta na wenzie wanapokelewa kama yale mapokezi tulipewa wakati tunaanza form one,basi walivuliwa nguo zote hapo na ika planiwa wakatwe ulimi baadae,muda huu jamaa akili imemrudi analia sana na kupigwa,baadae wenzie walikatwa ulimi ila yeye hakukatwa (wazazi wake waliwahi kwa mganga) so ikafika muda wa chakula cha usiku msosi ni nyama ya binadamu imepikwa jamaa alikataa kula akapigwa sana so alilala bila kula siku hiyo,anadai misukule haiongei inaguna guna tu kama bubu na kesho yake asubuhi waliamshwa alfajiri kwenda shamba na anadai wakati wanalima watu walipita ila watu wale hawakuwaona misukule ila misukule pamoja na jamaa yangu waliwaona wapita njia wale na kuna muda unakuta mtu anatembea anaenda anagongana na msukule ila yeye kibinadamu anaona kajikwaa tu,ikumbukwe nature ya ufanyaji kazi ni kama movie ya escape from sobibor yani ukichoka ni kupigwa sana na mnalima kutoka asubuhi mpaka mida ya jioni non stop
baadae walikuwa wakirudi gamboshi huko walikuta uji au ugali na kile ambacho hatuwez kuita mboga ya majani yani ni manyasi yamechemshwa (gamboshi hawali nyama kila siku), ilikuwa ikifika usiku wanajipanga kwenye ungo kwenda makaburini kufufua maiti ambazo zimezikwa recently kwa ajili ya kuzila na zile za zamani zimeanza kuoza walipelekea fisi, daily routine nyingine ni kwenda kuwanga usiku ambapo sheiria inassma ukiingia kwa mtu iba vyakula au kama anakula ule nae na ule pale anapofinya yeye ukizubaa ukate ugali pembeni atagundua na usiibe pesa maana utashindwa kutoka
siku zingine walienda highway kusababisha ajari,hizi ajari mnasikiaga gari zimegongana uso kwa uso huwa ni wachawi wanatega vitu fulani barabarani kati kati then wao wanakaa pembeni,hivo vidude nimevisahau jina ila ni vi living things kwenye dunia ya uchawi na ndivo huangusha gari,gari ikianguka tu wanakuja wachawi na kuchukua maiti na kuondoka (wanaacha migomba,ukitaka uelewe hii relate na huu uzi huyo dogo kwao walimzika kabisa wakidhani ni yeye kumbe sio mwili wake)
siku nyingine wachawi wanaroga mtu akiwa na afya njema kabisa,unaugua weeh,ukikaribia kufa wanakuja kuweka kambi nyuma ya mlango wa nyumba ya mgonjwa na wanakaa hapo mpaka mgonjwa afe,akikata roho tu wanaweka mgomba kitandani na kuondoka na mgonjwa (muda huu anapona kabisa) so nyie mtazika mgomba au wakati mwingine wanawaacha mkamzike ndugu yenu kabisa ila usiku wanakuja kumchukua kaburini kwa kupiga kaburi na ka fimbo then maiti inaibuka (wachawi hawachimbi kaburi) wakiichukua maiti inaenda
jana niliongea kuhusu kuzaliana,sex, wachawi huchukua misukule ya kiume na kuipeleka kwa ya kike ikafanye mapenzi,baada ya miezi tisa vitoto huzaliwa na siku hiyo hiyo vinaenda kuwekwa kwenye moto maalumu kama tunavochomaga nyama choma ila tofauti ni kwamba kuna chombo cha kukinga mafuta ya mtoto mchanga,mafuta hayo jamaa alikuwa anaona wanakuja binadamu wa kawaida ambao alisikia wakiongea ni wafanya biashara wakubwa wanaenda kujipaka mwilini ili kuvutia biashara zao na yanagombaniwa haya mafuta licha ya kuuzwa bei mbaya
unaweza kujiuliza mbona wachawi bado tu hawajamkata jamaa ulimi ? wazazi wake walikuwa wanaenda kwa waganga hivo wachawi wakawa wanasahau na siku wakikumbuka inatokea tu kitu sababu zoezi linashindikana,mpaka hapo ni jamaa tu ndiye alikuwa na ulimi
NB
wazazi wa jamaa walifanikiwa kumtorosha Gamboshi na hii ni true story nilikuwa hadi na kipande cha copy ya gazeti
 
Leta uzi tujue maisha ya Gamboshi afu miaka hiyo ndo hv vitu vilishamiri sana unamkumbuka dokta manyau nyau kwenye kipimdi cha EATV alikuwa anadili na hawa wachawi wanaowachukua watu kimiujiza
Manyau nyau alikamatwa baada ya kutapeli Tsh.30 million na kuhukumiwa Jela... Kwa kujipatia hela Kwa njia ya udanganyifu.
 
Ina maana huyo Mtoto alifariki Mkoa wa Geita akaja kufufukia Mkoa wa Shinyanga?.
 
Ndugu yako akifa kifo cha mashaka msikimbilie kuwahi kuzika wengine huwa mnawacha ndani mnazika mgomba na mkishazika tu mmewapa tiketi yaani ruhusa wachawi kumchukua.Dawa msikubali kuwaachia wachawi,piga maombi ya kufa mtu au kuna wataalamu wa kufufua kama kafa kichawi ataamka toka kuzimia.Wachawi hawana nguvu kubwa Sana sema utisha tu watu sababu wengi hawazijui codes zao ukizijua hawa wapumbavu hawakusumbui wala kukugusa au kuchezea baraka zako yaani mali au uzao wako.
Kaburi la mtu wa Mungu au lililofungwa mchawi agusi kufukua.
Waislamu ndio uongoza kwa kuzika watu wengi hai.
Mtu kadondoka asubui mchana anazikwa, wengine huwa wamezimia Ili ufe ni iwe imethibitika kitalaamu.
 
Kichwa cha habari "MTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA"

content "mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka."

Mtoto kumbe alikua misele, we unapotosha unasema kafufuka
Yani wanalazimisha mambo ya uzushi, hamna mtu atakayekuja hadharani kufanya uchawi . Ni habari za kusimuliana kama mambo ya gharika kuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] viumbe wote walikufa sasa samaki walikuwaje
 
Atakuuliza umejuaje Kama rafiki yako hajakudanganya[emoji23][emoji23][emoji23], Kuna jamaa humu JF aliwahi kutoa ushuhuda alivyoshuhudia wachawi usiku wa manane wakiingia chumbani kwake..nikaona member mmoja kamuuliza tutajuaje Kama hauna matatizo ya akili [emoji23][emoji23]. Hawa jamaa ni wabishi Sana japo ukiwauliza Kama wamewahi kufanya research kuthibitisha uwepo wa uchawi watakwambia hawajawahi ila wanabisha, utaambiwa Kuna mzungu alifanya research.
haya mambo yapo mkuu,hata mimi nimewahi kuwashuhudia geto kwangu,nilikuwa nimelala nikaamshwa ghafla na sauti za watu wanaimba,kufumbua macho nawaona wachawi wakapotea
 
Hakuna aliyekufa akafufuka zaidi ya Yesu kristo. Hao huwa wanachukuliwa kimazingara (kichawi)
Ukifa kichawi unarudishwa unafufuliwa sema wengi hawajui kuhusu hii kitu.
Kuna kufa kichawi na kufa KiMungu.
Kufa kichawi unatoweshwa kwenye ulimwengu wa macho ya nyama lakini unaendelea kuwepo duniani hata kutembelea makazi yako au kwenu unafika lakini awakuoni unakuwa kwenye ulimwengu usioonekana hapa hapa duniani ni hadi siku zako ulizopangiwa na Mola wako zitakapokwisha ,wenye uwezo wa kukuona ni viumbe visivyoweza kuongea mfano,mbwa, watoto wadogo ambao awajaanza kuongea,kichaa,pia wachawi na waganga wanao uwezo wa kukuona maana hawa wanao uwezo wa kuingia kuzimu na kutoka yaani ulimwengu huu usioonekana ambao maisha yanaendelea kama kawaida.
Kifo cha KiMungu ni kutoweka kabisa duniani si mchawi wala mganga anaweza kuona ulipo ila Mungu Mwenyewe na hapa ni kulingana na mda wako uliopangiwa kuishi duniani hapa matendo yako yataamua uwe kuzimu kubwa au paradiso.
 
Back
Top Bottom