Rejea huko nyuma utaona maswali yangu.kama lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea huko nyuma utaona maswali yangu.kama lipi?
Nitawauliza wenye maarifa ya majibu hayo. Ila kwa hili nina maarifa nalo.Kwa hiyo mpaka ukubali?
Nikikupa majibu ambayo huna maarifa nayo, we utajuaje kwamba ni ya kweli?
Nani alikwambia Uchawi watu hawafundishwi ?Na ndio maana nimekuambia namna ambavyo wewe unau define uchawi ni tofauti sana na mimi navyo uelezea. Hata tricks nazo zinafundishwa na kuna hadi maduka yanayouza tools kwa ajili ya kutumika kwenye perfomance za magic tricks.
Hiyo maana yako ya uchawi yenye kuhusisha supernatural power unaweza kuthibitisha uchawi huo upo?
Hili tukio limethibitisha hilo.Ebu thibitisha uhalisia wa hizo supernatural power
Nithibitishe mara ngapi ?Haya wewe unayejua uchawi thibitisha uchawi huo upo
Usninichoshe, weka post numberRejea huko nyuma utaona maswali yangu.
Ukubali kua nimeonyesha?Nitawauliza wenye maarifa ya majibu hayo. Ila kwa hili nina maarifa nalo.
Mpaka nikubali nini ?
Mada inathibitishaje uchawi upo?Nani alikwambia Uchawi watu hawafundishwi ?
Unataka uthibitishiwe mara ngapi ? Hii mada yenyewe imethibitisha hilo.
Hili tukio limethibitisha hilo.
Nithibitishe mara ngapi ?
Ongeza umakini. Kilicho andikwa kimeandikwa.Usninichoshe, weka post number
Unarudia swali ambalo nimeshakujibu tayari.Mada inathibitishaje uchawi upo?
Unahakika gani kwamba tukio hilo ni la kweli na sio uzushi tu kama ule wa mama kujifungua kalungu yeye?
Siyo tu kwamba kukubali bali huwezi kufanya hivyo.Ukubali kua nimeonyesha?
Kwani unaandika peke yako humu?Ongeza umakini. Kilicho andikwa kimeandikwa.
Hujathibitisha, umesema tu kua mada yenyewe inathibitisha, je huo ndio uthibitisho?Unarudia swali ambalo nimeshakujibu tayari.
Jibu maswali niliyo kuuliza.Kwani unaandika peke yako humu?
Nikikuambia na mimi nilikujibu ila haukua makini kupitia post zangu utasemaje?
Sasa ili uone kama mada haithibitishi ulitakiwa uikosoe mada kwa elimu na maarifa.Hujathibitisha, umesema tu kua mada yenyewe inathibitisha, je huo ndio uthibitisho?
Huu ujinga mwingine ambao uko nao kwa muda sasa, kwanini unaweka madai ambayo huwezi kuthibithitisha?Sasa ili uone kama mada haithibitishi ulitakiwa uikosoe mada kwa elimu na maarifa.
Nithibitishe mara ngapi ?Huu ujinga mwingine ambao uko nao kwa muda sasa, kwanini unaweka madai ambayo huwezi kuthibithitisha?
Mada inathibotisha vipi uchawi upo?
Hakuna swali umeuliza sijajibu, mimi ndo nasubiria unipe uthibitisho unao onesha uchawi upoJibu maswali niliyo kuuliza.
Kwanini unakuwa Muongo ?Hakuna swali umeuliza sijajibu, mimi ndo nasubiria unipe uthibitisho unao onesha uchawi upo
Hahahahahaha......!Kunywa maji punguza hasira harafu rudi ufikirie kuwa pichani ni kamanda wa polisi nasi huyo mtoto.