Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Kwa hiyo mpaka ukubali?

Nikikupa majibu ambayo huna maarifa nayo, we utajuaje kwamba ni ya kweli?
Nitawauliza wenye maarifa ya majibu hayo. Ila kwa hili nina maarifa nalo.

Mpaka nikubali nini ?
 
Na ndio maana nimekuambia namna ambavyo wewe unau define uchawi ni tofauti sana na mimi navyo uelezea. Hata tricks nazo zinafundishwa na kuna hadi maduka yanayouza tools kwa ajili ya kutumika kwenye perfomance za magic tricks.

Hiyo maana yako ya uchawi yenye kuhusisha supernatural power unaweza kuthibitisha uchawi huo upo?
Nani alikwambia Uchawi watu hawafundishwi ?

Unataka uthibitishiwe mara ngapi ? Hii mada yenyewe imethibitisha hilo.
Ebu thibitisha uhalisia wa hizo supernatural power
Hili tukio limethibitisha hilo.
Haya wewe unayejua uchawi thibitisha uchawi huo upo
Nithibitishe mara ngapi ?
 
Nani alikwambia Uchawi watu hawafundishwi ?

Unataka uthibitishiwe mara ngapi ? Hii mada yenyewe imethibitisha hilo.

Hili tukio limethibitisha hilo.

Nithibitishe mara ngapi ?
Mada inathibitishaje uchawi upo?

Unahakika gani kwamba tukio hilo ni la kweli na sio uzushi tu kama ule wa mama kujifungua kalungu yeye?
 


Tazama hii video imeeleza process zote za mtu kufanywa msukule
 
Mada inathibitishaje uchawi upo?

Unahakika gani kwamba tukio hilo ni la kweli na sio uzushi tu kama ule wa mama kujifungua kalungu yeye?
Unarudia swali ambalo nimeshakujibu tayari.
 
Hujathibitisha, umesema tu kua mada yenyewe inathibitisha, je huo ndio uthibitisho?
Sasa ili uone kama mada haithibitishi ulitakiwa uikosoe mada kwa elimu na maarifa.
 
Sasa ili uone kama mada haithibitishi ulitakiwa uikosoe mada kwa elimu na maarifa.
Huu ujinga mwingine ambao uko nao kwa muda sasa, kwanini unaweka madai ambayo huwezi kuthibithitisha?

Mada inathibotisha vipi uchawi upo?
 
Huu ujinga mwingine ambao uko nao kwa muda sasa, kwanini unaweka madai ambayo huwezi kuthibithitisha?

Mada inathibotisha vipi uchawi upo?
Nithibitishe mara ngapi ?
 
Back
Top Bottom