imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa hii migomba inayotumika kwenye hizi shughuli ni mingi sana,swali langu hao wenye mashamba ya migomba huwa hawalalamiki wakiona mingi imevunwa.mgomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii migomba inayotumika kwenye hizi shughuli ni mingi sana,swali langu hao wenye mashamba ya migomba huwa hawalalamiki wakiona mingi imevunwa.mgomba
huyo dogo itakuwa alipelekwa na wachawi hadi maeneo ya karibu ndipo akapiga mguu hadi hapo kijijiniSegese hadi Geita ni mbali aisee!!
Mkuu, wachawi wana mashamba yao, yani wachawi wengine ni wakulima hawa hawa tunaishi nao mitaani so anachukua vitendea kazi shambani kwake au anaiba kwako mmoja na hutojua kamweSasa hii migomba inayotumika kwenye hizi shughuli ni mingi sana,swali langu hao wenye mashamba ya migomba huwa hawalalamiki wakiona mingi imevunwa.
Kwa mfano hilo eneo linalosemekana mdio Gambosh hakuna Mgomba unaoweza kuota ni sehemu kavu sana swali langu huwa wanaitoa wapi?Mkuu, wachawi wana mashamba yao, yani wachawi wengine ni wakulima hawa hawa tunaishi nao mitaani so anachukua vitendea kazi shambani kwake au anaiba kwako mmoja na hutojua kamwe
mchawi anaweza kukuibia wewe nguo zako na usijue, anakupumbaza unazisahau
Kitu ambacho watu wengi wanachanganya ni hii ishu ya serikali na imani ya kishirikiba.UCHAWI UPO SIO BURE ILA SERIKALI HAIAMINI KATIKA UCHAWI
Rate ya kukua ni kubwa pia sio migomba tu hata nguo matambara, majani nk uwekaSasa hii migomba inayotumika kwenye hizi shughuli ni mingi sana,swali langu hao wenye mashamba ya migomba huwa hawalalamiki wakiona mingi imevunwa.
Mambo ya gharika ni kituko kingine, ni mjinga gani anaweza kuamini kua hakukuwa na watu wanao miliki boti ambazo wangetumia kujinusuru kipindi cha gharika?Yani wanalazimisha mambo ya uzushi, hamna mtu atakayekuja hadharani kufanya uchawi . Ni habari za kusimuliana kama mambo ya gharika kuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] viumbe wote walikufa sasa samaki walikuwaje
Nani atayejitusu kupeleka habari ya mchongo kama hiyo kwenye media kama hizo?Nani wa kupeleka hizo habari kwenye media za kimataifa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza dunia ingeganda maana carbon dioxide nyingi ingekuwa absord na maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa wangeishine wakati temeprature ingedrop saba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] habari zao hawa watu haziwezekani.. mimi naamini mambo ya wachawi yanatokana na story za dini zaidi kuliko hata uhalisia wa uchawi wenyeweMambo ya gharika ni kituko kingine, ni mjinga gani anaweza kuamini kua hakukuwa na watu wanao miliki boti ambazo wangetumia kujinusuru kipindi cha gharika?
Zaidi wakajaribu kutuhamisha fikra tusifikirie huko bali tufokasi kuangalia uzembe wa hao watu na jitihada zao za kujinusuru kwa kukwea miti mirefu
Ukisoma Genesis 7:19-24 inasema mungu alishusha mvua iliyodumu siku 40 ikinyesha usiku na mchana iliyosababisha mafuriko makubwa kiasi cha kuificha milima mirefu
If the highest mountains on earth was covered in water kwa siku 150, maji hayo yamepotelea wapi?
Lakini hadithi nyingi nilizosoma kuhusu Watu kufanywa Mazombie huwa na wanasema ni Migomba.Rate ya kukua ni kubwa pia sio migomba tu hata nguo matambara, majani nk uweka
Kama MTU anaamini kuna Mungu lakini haamini kuna ushirikina mwache tu aende zake usimbughudhi..atakurudia tu na ushuhuda wa kushangazaMTOTO MIAKA 11 AFUFUKA MKOANI GEITA.
Mtoto Leonard Morisha Mwenye umri wa Miaka 11 Mkazi wa kijiji na kata ya Ngemo wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita aliyefariki June 27 ,2017 katika hospitali ya Geita amefufuka baada ya kuzikwa kwa kipindi cha miaka 5 mpaka kufufuka kwake huku ikidaiwa kukatwa ulimi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Henry Mwaibambe amesema mtoto huyo alionekana usiku katika kijiji cha Segese kata ya Msalala wilaya ya kahama akiwa anaranda randa katika Maduka.
Kamanda amesema mtoto huyo baada ya kuonekana katika Maduka hayo alikuwepo mlinzi katika Maduka hayo aitwae Emmanuel Busiga alimchukua na kumpeleka kwao badae alifikisha taarifa katika uongozi wa kijiji.
"Mtoto huyo ana afya njema lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi katika kituo cha afya cha Masumbwe alibainika kukatwa ulimi kwa kiwango kikubwa mishipa ya ulimi wake na kusababisha ashindwe kuongea, " Mwaibambe.
Mwaibambe amesema baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la polisi lilipata kibali kutoka katika Mahakama kwa ajili kufukuwa kaburi lake ambalo mtoto huyo alikuwa kazikwa na kukuta kaptura pamoja na suruali ya Baba mzazi wake aliyefariki mwaka 2019.
#KitengeUpdatesView attachment 2047442
haya mambo yapo mkuu,hata mimi nimewahi kuwashuhudia geto kwangu,nilikuwa nimelala nikaamshwa ghafla na sauti za watu wanaimba,kufumbua macho nawaona wachawi wakapotea
Mkuu,nimekuelewa, huwa wanaweza kuletewa kutoka sehemu nyingine ,ikumbukwe wachawi hawaishi gamboshi,ile ni kama office tu asubuh hurudi kwao na kuwaacha baadhi wakisimamiaKwa mfano hilo eneo linalosemekana mdio Gambosh hakuna Mgomba unaoweza kuota ni sehemu kavu sana swali langu huwa wanaitoa wapi?
Kwahiyo hata Mchawi wa Mtwara ofisi yake ni Gambosh?Mkuu,nimekuelewa, huwa wanaweza kuletewa kutoka sehemu nyingine ,ikumbukwe wachawi hawaishi gamboshi,ile ni kama office tu asubuh hurudi kwao na kuwaacha baadhi wakisimamia
hivo wale wanaorudi kwao ndio huja na migomba,alafu sio kwamba kila siku wanaua mtu so ni migomba michache sana hutumika
Gamboshi ni jina tu tunatumia sisi ambao sio wachawi ila ki uhalisia zipo Gamboshi nyingi nchi nzima so wa mtwara nao wana ofisi zao hukoKwahiyo hata Mchawi wa Mtwara ofisi yake ni Gambosh?
Gambosh ni Kijiji nadhani kiko Maswa au Bariadi kama sikosei.Gamboshi ni jina tu tunatumia sisi ambao sio wachawi ila ki uhalisia zipo Gamboshi nyingi nchi nzima so wa mtwara nao wana ofisi zao huko
uzi uliletwa humu na videos zipo youtube za hiko kijiji hivo upo sahihi, lakini kwakuwa hicho kijiji ndicho maarufu kwa uchawi na inasemekana kambi ipo huko kubwa basi watu huamini huko tu ndio kuna kambi ya uchawiGambosh ni Kijiji nadhani kiko Maswa au Bariadi kama sikosei.
Kinaaminika kwenye Stori za Wasukuma kuwa ni Kijiji cha Wachawi sijasikia kwenye Stori za Makabila mengine kwamba wana Vijiji vyao vya Wachawi.
Inabidi wampe karatasi aandike kilichomsibu mana kuongea haweziWalikosea hawakumkata koo, eti walimkata ulimi tyuuh lol [emoji23][emoji23][emoji23]