Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Mtoto aliyefariki mwaka 2017 adaiwa kufufuka

Hakuna uchawi, kuna tricks tu

Got takent huangaliagi?

Mle si ndo kila kitu utasema uchawi sasa?
Kijana uwe unasoma yaani unathibitisha uwepo wa uchawi bila kujua na hapa umekiri ya kuwa uchawi upo.

Uchawi ni mbinu (tricks) japo kuwa si kila mbinu ni uchawi.

Soma hapa chini ili siku nyingine usibishe kwa usiyo yajua.

Nanukuu.

Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema:

“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.” Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema:

"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki." Hayo ni katika kamusi za lugha.

Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa:

"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."

Msingi wa uchawi ni mbinu maalumu.
 
Hawezi kufanya hivyo hapa nimempa kazi amtenganishe huyo mtoto na hilo tukio mpaka anakufa hataweza analeta habari za mbwa au paka kisha kwa ujinga wake anajinadi kabisa kwamba angebisha hata angeambiwa ni paka au mbwa.

Ukimuuliza Uchawi ni nini ? Anasema hakuna Uchawi. Wajinga wa hivi huwa nawaona humu jf. Katika Wajinga ninao wajua mimi na ambao naweza kuthibitisha ujinga wao humu ndani wa kwanza ni Kiranga na wa pili huyu,yaani wanabisha kwa mambo wasiyo yajua kabisa.
Ni utoto umamsumbua nmeona reference za American got talent nikajua ni mtu wa aina gani I'm done with him
 
Katrain Mbwa kisha apande juu ya mti. Hili mosi.
Nisham train tayari video hiyo hapo chini na usisahau ku like na ku subscribe channel yangu





Nikakwambia tenganisha msingi wa tukio na mtoto unaruka ruka ukatolea mfani wa mbwa au paka na habari iko wazi kwamba walivyofukua kaburi hawakukuta athari ya huyo mtoto zaidi ya nguo za baba yake ? Maana yake mtoto hakufa,sasa unapoleta ujuaji kwenye hakuna unaonekana kituko.
Naona unaandika ili nawewe uonekane upo kwenye mjadala na sio kwamba una andika ili ku conquer hoja za mpinzani kwa facts.

Nilivyosema premise ya habari ni kufa na kufufuka niliambatanisha na mtoto hapo?

Unaendelea kuonyesha ujinga wako vipi swali kwa dhati yake ulinasibu na tamko la "wapumbavu" ? Chenye akili ndiyo kinanasibishwa na sifa hiyo na si "swali". Huu ujinga mwingine na kukurupuka kwako.

Nimekuoa kazi mtenganishe huyo mtoto na hilo tukio kama unaweza.
Ujinga tu
 
Nisham train tayari video hiyo hapo chini na usisahau ku like na ku subscribe channel yangu
Au sio umeshamtrain siyo ?Sawa nimekubali . Sasa turudi katika hoja ya msingi,ya kumtenganisha mtoto na tukio husika.
Naona unaandika ili nawewe uonekane upo kwenye mjadala na sio kwamba una andika ili ku conquer hoja za mpinzani kwa facts.

Nilivyosema premise ya habari ni kufa na kufufuka niliambatanisha na mtoto hapo?
Ukiwa huelewi ninachokiandika ni bora ukauliza. Nimekwambia tenganisha tukio hilo na mtoto,unakataa ya kuwa mtoto ahusiki au ndiyo maana ukaona sawa kuweka mbwa au paka... ?
Ujinga tu
Ukiwa unapuyanga ni bora ukiri sababu haikupunguzii kitu. Kinyume chake utazidi kuwa mjinga mpaka unakufa.

Vipi swali liwe na sifa ya "upumbavu" ?
 
old enough to understand which is right which is wrong

Niambie wewe una affirm vipi hizo taarifa kua niza kweli?
Sasa wewe mbona umeshindwa kuonyesha kuwa ni za uongo mpaka muda huu ?
 
Ni utoto umamsumbua nmeona reference za American got talent nikajua ni mtu wa aina gani I'm done with him
Acha utoto unisumbue kuliko kuwa kubwa jinga wa kukubali vitu kindezi bila uthibitisho eti kisa matukio kama hayo sio mara ya kwanza kuripotiwa

We unaona reference za got talent kua zimenishushia credibility, ila hujaona credibility yako unayojishushia kwa kukubali hizi hekaya ambazo hazina uthibitisho?
 
Au sio umeshamtrain siyo ?Sawa nimekubali . Sasa turudi katika hoja ya msingi,ya kumtenganisha mtoto na tukio husika.

Ukiwa huelewi ninachokiandika ni bora ukauliza. Nimekwambia tenganisha tukio hilo na mtoto,unakataa ya kuwa mtoto ahusiki au ndiyo maana ukaona sawa kuweka mbwa au paka... ?

Ukiwa unapuyanga ni bora ukiri sababu haikupunguzii kitu. Kinyume chake utazidi kuwa mjinga mpaka unakufa.

Vipi swali liwe na sifa ya "upumbavu" ?
Kufa na kufufuka ndio premise ya mjadala

Nambie hapo nafasi ya mtoto iko wapi?

Ukishasema haiwezekani kilichokufa kikafufuka hautahitaji kujua hicho kitu kama ni mtoto au mbwa au nguruwe au kitu gani as long as ume hold premise ya hivyo vitu viwili.
 
Hiyo kitaalamu tunaita Escape From Gamboshi acha mchezo kabixa😅😅
ninaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
 
ninaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
Hii habari naifananisha na simulizi ya zabron kwenye kipindi cha sintasahau redio free, niliipenda sana hii stori

Unaweza ukaweka nyama nyama kidogo inoge?
 
Hii habari naifananisha na simulizi ya zabron kwenye kipindi cha sintasahau redio free, niliipenda sana hii stori

Unaweza ukaweka nyama nyama kidogo inoge?
kesho nitaiandika vizuri Mkuu, ni ndefu sana alafu sasa hivi nipo kwenye sherehe, kesho naandika mwanzo mpaka mwisho na najua kuna members lazima wanaijua hii
ila familia yao jamaa ilifilisika kabisa mpaka kufikia hakuna hata pesa ya kula kutoka maisha ya kishua
 
kesho nitaiandika vizuri Mkuu, ni ndefu sana alafu sasa hivi nipo kwenye sherehe, kesho naandika mwanzo mpaka mwisho na najua kuna members lazima wanaijua hii
ila familia yao jamaa ilifilisika kabisa mpaka kufikia hakuna hata pesa ya kula kutoka maisha ya kishua
Ukiweka usisahau kunitag, mi ni mpenzi sana wa horror stories
 
Huyo ni sifuri kisirani hajui kuhoji wala kujenga hoja anakurupuka na ubishi mwingi. Ameacha usuli wa hoja anarukia matawi.
Hivi neno usuli ni kiswahili fasaha au umeandika kwa accent ya kimasai?
 
Hawezi kufanya hivyo hapa nimempa kazi amtenganishe huyo mtoto na hilo tukio mpaka anakufa hataweza analeta habari za mbwa au paka kisha kwa ujinga wake anajinadi kabisa kwamba angebisha hata angeambiwa ni paka au mbwa.

Ukimuuliza Uchawi ni nini ? Anasema hakuna Uchawi. Wajinga wa hivi huwa nawaona humu jf. Katika Wajinga ninao wajua mimi na ambao naweza kuthibitisha ujinga wao humu ndani wa kwanza ni Kiranga na wa pili huyu,yaani wanabisha kwa mambo wasiyo yajua kabisa.
Unani back bite?
 
Kijana uwe unasoma yaani unathibitisha uwepo wa uchawi bila kujua na hapa umekiri ya kuwa uchawi upo.

Uchawi ni mbinu (tricks) japo kuwa si kila mbinu ni uchawi.

Soma hapa chini ili siku nyingine usibishe kwa usiyo yajua.

Nanukuu.

Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema:

“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.” Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema:

"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki." Hayo ni katika kamusi za lugha.

Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa:

"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."

Msingi wa uchawi ni mbinu maalumu.
Ngoja kwanza niweke clear

Kwanini nimeita uchawi ni trick, pengine unaweza ukafurahia ukaona nimekubaliana na maana ya uchawi ambayo wewe unaikusudia.

Tricks haihusishi supernatural powers ni ujanja ujanja tu wakum-misdirect mtu ashindwe ku focus kwenye uhalisia wa kitu na arubunike na huo ujanja wako.

James randi alikua ni moja ya watu walioitwa wachawi (magician) na yeye hakuwahi kuwa mchawi wala kuamini uchawi.

Kilichofanya watu wamuite mchawi ni zile tricks zake alisokuwa aki perfom na watu wakiwa deluded wanajikuta wanamuita mchawi.

Kuna tamasha moja lilikua likifanya na jamaa mmoja aliyekua anatamba duniani kwa uchawi siku hiyo james randi alikuja kum debunk huyo mchixi akiwa live lakini bado watu waliendelea kumuamini kua ni mchawi

Kwa hiyo mpaka hapo nikikuambia uchawi ni tricks unaweza kukubaliana na jibu langu kua ndio hiyo maana ambayo nawewe unaikusudia isiyohusisha mambo ya supernatural powers?
 
Back
Top Bottom