Mtoto aliyeibiwa Pwani akutwa Ruaha Morogoro

Mtoto aliyeibiwa Pwani akutwa Ruaha Morogoro

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
 

Attachments

  • IMG-20250119-WA0018.jpg
    IMG-20250119-WA0018.jpg
    141.1 KB · Views: 2
Uzuri wahalifu wa huku ni wajinga Sana wanaacha traces nyingi ni rahisi Sana hata kuwatrack na kuwapata



Kuna majambazi walivamia elusion za wachina na silaha kabisa wakaiba dhahabu za kutosha, eti wakaiba na laptops😀😀😀


Walidakwa baada ya siku 3 tu, we ushaiba dhahabu laptop tena za nini??


Heko Kwa waliofanikisha mtoto kupatikana
 
Future ya huru mtoto imetiwa giza siku ile wazazi wake walipoondolewa duniani.. Unaweza kujiuliza kosa lake ni ninini
Sorry huenda nikawa nyuma kidogo ya wakati. Huyu ni tofauti na yule ambaye wazazi wake walitumbukizwa kwenye mashimo mawili tofauti ya maji taka? Make wale hawakufa.
 
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
Atukuzwe Mungu awezae yote ,jina la Mungu liinuliwe
 
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.

WEWE mleta mada habari ya polisi ni ya Mikumi wewe unatuambia ni KIBAHA wewe vipi hebu acha kuleta taaruki watu hawajui mtoto wao yuko wapi mpaka muda huu. Soma jiridhishe kabla ya kuja mitandaoni.
 
Back
Top Bottom