Demarcation
Senior Member
- Jan 21, 2014
- 178
- 248
Mshana Jr kachanganya ma file itakua!!Braza waliozamishwa kwenye chamber sio kwamba waliokolewa baba na mama hapo karibu na walipoishi...
Niliona wanahojiwa na TV moja Youtube...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr kachanganya ma file itakua!!Braza waliozamishwa kwenye chamber sio kwamba waliokolewa baba na mama hapo karibu na walipoishi...
Niliona wanahojiwa na TV moja Youtube...
Hawajafa wapo hai woteNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Hapana kaka Mshana mbona kama unamix mambo? Wale wa chemba za choo mbona wapo haiNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Basi Mungu ni mwema sanaMbona wamesema wazazi Wapo hai?
Basi Mungu ni mwema sana .. Je hii ni tofauti na ile?Hapana kaka Mshana mbona kama unamix mambo? Wale wa chemba za choo mbona wapo hai
WALE WAZAZI WALIOTUMBUKIZWA CHOONI?Wazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Tutamfikiria, hebu subiriSasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo
Wazazi hawakufa ili walitiwa kwenye mashimo ya choo kila mmoja la kwake.inaonekana maahimo hayo hayakuwa na majiWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Jamani wazazi wenzangu 😢😢😢Wazazi hawakufa ili walitiwa kwenye mashimo ya choo kila mmoja la kwake.inaonekana maahimo hayo hayakuwa na maji
YesBasi Mungu ni mwema sana .. Je hii ni tofauti na ile?
God is goodYES WAZAZI WALIOKOLEWA
Taarifa za awali walisema wameuliwa.. Nimefarijika kusikia hili💗💪🏿🙏🏿🙏🏿Wazazi hawakufa ili walitiwa kwenye mashimo ya choo kila mmoja la kwake.inaonekana maahimo hayo hayakuwa na maji
Yeah nadhani nimechanganyaHapana kaka Mshana mbona kama unamix mambo? Wale wa chemba za choo mbona wapo hai
Na pia Tar 15 Kibaha kwa Mfipa ,wakora wameingia wakaiba mali za ndani na gari IST ,wakawatupa Mke na mume kwenye mashimo ya maji taka tofauti ,mtoto wao mdogo wa miezi 7 wameondoka naye.Wazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia