Mtoto aliyeibiwa Pwani akutwa Ruaha Morogoro

Mtoto aliyeibiwa Pwani akutwa Ruaha Morogoro

Na pia Tar 15 Kibaha kwa Mfipa ,wakora wameingia wakaiba mali za ndani na gari IST ,wakawatupa Mke na mume kwenye mashimo ya maji taka tofauti ,mtoto wao mdogo wa miezi 7 wameondoka naye.

Hizi mali zinatuondolea UTU.

Jeshi la polisi kwa jinsi technologie ilivyokuwa nawashauri wapanye forensic kwenye hiyo nyumba wapate alama za vidole ,warequest namba za simu zilizokuwepo maeneo hayo around saa 11 mpaka saa mbili asubuhi........Kisha hizo namba ambazo zikaja kusoma maeneo tofauti na kibaha wazifanyie analysis.

Hao wahuni mkishawapata dawa yao ni kutaja MTANDAO wao wote kisha Mnawapa HAKI YAO ya kikatiba kama walivyofanya CONGO.
Ushatoa Siri, watajificha
 
Hao walio mchukua ni wauaji kwani walikusudia kuwaua wazazi wake, ni Mungu tu alisimama.
Ukifikiria vizuri, utaelewa kwa nini Wachina wana ile adhabu yao ya hadharani....
 
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
Huyu sio Pwani bali ni Kilosa
 
Na pia Tar 15 Kibaha kwa Mfipa ,wakora wameingia wakaiba mali za ndani na gari IST ,wakawatupa Mke na mume kwenye mashimo ya maji taka tofauti ,mtoto wao mdogo wa miezi 7 wameondoka naye.

Hizi mali zinatuondolea UTU.

Jeshi la polisi kwa jinsi technologie ilivyokuwa nawashauri wapanye forensic kwenye hiyo nyumba wapate alama za vidole ,warequest namba za simu zilizokuwepo maeneo hayo around saa 11 mpaka saa mbili asubuhi........Kisha hizo namba ambazo zikaja kusoma maeneo tofauti na kibaha wazifanyie analysis.

Hao wahuni mkishawapata dawa yao ni kutaja MTANDAO wao wote kisha Mnawapa HAKI YAO ya kikatiba kama walivyofanya CONGO.
Hao wahuni mkishawapata dawa yao ni kutaja MTANDAO wao wote kisha Mnawapa HAKI YAO ya kikatiba kama walivyofanya CONGO.💪🏿
 
U
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
Umechanganya desa mkuu, huyo kwenye hiyo taarifa uliyo-attach ni wilaya ya Kilosa ila matukio yote yalitokea siku moja........soma content ya taarifa maana hata wadau wengi kwenye comment naona nao wameunga tela kuhusisha na yule wa Kibaha ambapo wazazi wake walitumbikizwa kwenye mashimo ya maji taka (yeye mtoto alikuwa ni wa miezi 7)
 
Back
Top Bottom