Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Wazazi walikufa kumbeWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Na kutumbukizwa kenye chemba za vyooWazazi walikufa kumbe
Na kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Mshana Nathan habar hukuipata vzur wazaz hawakufaWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Wazazi wameuliwa vipi na wakati baba ndio alikuwa anaelezea tukio lilivyotokea mkuu?Wazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Walipona mkuuNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Mshana Nathan habar hukuipata vzur wazazWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Sorry huenda nikawa nyuma kidogo ya wakati. Huyu ni tofauti na yule ambaye wazazi wake walitumbukizwa kwenye mashimo mawili tofauti ya maji taka? Make wale hawakufa.Future ya huru mtoto imetiwa giza siku ile wazazi wake walipoondolewa duniani.. Unaweza kujiuliza kosa lake ni ninini
Atukuzwe Mungu awezae yote ,jina la Mungu liinuliweUnamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
Unamkumbuka yule mtoto aliyeibiwa juzi kati hapa kule Pwani? Sasa habari njema ni kwamba Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro chini ya kamanda wake Alex Mkama wamethibitisha kupatikana kwa mtoto huyo, inadaiwa kwmaba mganga mmoja wa kienyeji tayari anashikiliwa kwa kuhusika na wizi wa huyo mtoto. Amekutwa Shambani akiwa ametelekezwa. Kongole kwa Polisi Morogoro.
WEWE mleta mada habari ya polisi ni ya Mikumi wewe unatuambia ni KIBAHA wewe vipi hebu acha kuleta taaruki watu hawajui mtoto wao yuko wapi mpaka muda huu. Soma jiridhishe kabla ya kuja mitandaoni.
Sio kwamba waliachwa hai?Na kutumbukizwa kenye chemba za vyoo