Mtoto analia sana na haongezeki uzito

Mtoto analia sana na haongezeki uzito

Anashiba bila shaka
Hata kama haiwezi kuwa hivyo
Watoto wengi huwa hawashibi. Maziwa ya mama zao hayatoshi. Ndiyo maana ukiona analia kila wakati hata mtoto wa siku mbili, tunampa uji! Uji unachujwa na kitambaa ili kupata Yale maji maji na kumnywesha kwa kijiko. Akishakunywa tuvijiko vitatu utaona anacheua. Usingizi mara moja! Kuzaa si kazi, kazi kulea.
 
Alikuwa ametimiza miezi 9
Njia ya kawaida
hajawahi kupata tatizo
Ndio alilia kama kawaida hakuwa na changamoto yoyote
Alizaliwa na kilo 4.4

Mtoto anaweza kua na matatizo ya

Moyo

Mapafu

Matatizo ya Mfumo wa Chakula

Homoni mf, Homoni za ukuaji , thyroid

Matatizo ya Metabolic

Anahitajika zaidi Kwa Sasa kujikita kwenye Vipimo kuliko matibabu.

Kaonane na Daktari Bingwa wa Watoto.
 
Mpeleke shirika la ndondi wamtambue kama super heavy champion
 
Watoto wengi huwa hawashibi. Maziwa ya mama zao hayatoshi. Ndiyo maana ukiona analia kila wakati hata mtoto wa siku mbili, tunampa uji! Uji unachujwa na kitambaa ili kupata Yale maji maji na kumnywesha kwa kijiko. Akishakunywa tuvijiko vitatu utaona anacheua. Usingizi mara moja! Kuzaa si kazi, kazi kulea.
Dah huyu anapiga uji na mtori lkn wapi
 
Mtoto anaweza kua na matatizo ya

Moyo

Mapafu

Matatizo ya Mfumo wa Chakula

Homoni mf, Homoni za ukuaji , thyroid

Matatizo ya Metabolic

Anahitajika zaidi Kwa Sasa kujikita kwenye Vipimo kuliko matibabu.

Kaonane na Daktari Bingwa wa Watoto.
Sawa ndio nipo hospitali tunasubiri vipimo
 
Oooh Mungu awasaidie mkutane na mtu sahihi atayetambua changamoto inayomtesa huyo malaika.
 
Watoto wengi huwa hawashibi. Maziwa ya mama zao hayatoshi. Ndiyo maana ukiona analia kila wakati hata mtoto wa siku mbili, tunampa uji! Uji unachujwa na kitambaa ili kupata Yale maji maji na kumnywesha kwa kijiko. Akishakunywa tuvijiko vitatu utaona anacheua. Usingizi mara moja! Kuzaa si kazi, kazi kulea.
Kweli kazi kulea mwana mkuu. Unga upi mzuri mkuu?
 
Hebu Fanya hivi jaribu kuminya tumbo taratibu, taratibu kama hatalia basi anatatizo la tumbo Linamsumbua. Then mtafutie dawa na suggest mitishamba. Kama laa hana tatizo hilo basi ni pm nikupe alternative mtoto awe na tabasamu.
 
Back
Top Bottom