Mtoto anarithi akili ya kuzaliwa kwa baba au kwa mama?

Mtoto anarithi akili ya kuzaliwa kwa baba au kwa mama?

akili anarithi kwa baba sisi familia yetu kuna kaka yetu wa kwanza ni baba tofauti na sisi tuliobaki na akili ni tofauti vilevile na tumeshare mama.
 
Nilishajaribu kufanya research juu ya suala hilo, kwa kusoma vitabu, kudadisi kwenye internet na kufanya tathmini kwa baadhi ya watu niwajuao, nikaona kwenye vitabu au makala nyingi wameandika kuwa, kisayansi, it has been proved that, about 80 percent of a child's intelligence anarithi kwa mama. Then percent nyingine iliyobaki inategemea na lishe, mazingira, akili ya baba etc. Then nikafanya uchunguzi kwa baadhi ya watu niwajuao, kwa kuangalia background za wazazi wao, nikagundua ni kweli, mtoto anarithi asilimia kubwa ya IQ yake kutoka kwa mama.

Kama hali hyo ni kweli.. Nahisi sisi vijana wa enzi za instagram hiz tutapata watoto matahira.. Unamkuta demu yupo instagram anafanya kazi ya kutukana kwenye page za watu.. Tu. Kuanzia asubuhi mpaka jioni..
 
Akili hurithiwa aisee hyo haina ubishi kuna baadhi ya koo watu wake wana akili sana na ni successfully sana in all aspect of life ni nature yao. Ndo mana zamani kabla ya ndoa wazazi waliangalia background ya familia kabla ya ndoa.
Hvi vtu vya kurithi vipo sana tu kabla ya kupata mwezi lazima Ku consider factor nyingi tu
 
Wavulana mostly wanachukua akili zao kutoka kwa Mama kwasababa ile "X" chromosome lazima itoke kwa mama.Na gene ya intelligence ipo embedded humo

Baba anatoa Y na inakuwa XY

Kwa wasichana anaweza kurithi kutoka kwa baba au mama kwasababu wote hawa wawili wana uwezo wa kutoa "X" chromosome na kutengeneza XX
 
Mtoto anarithi pande zote mbili katika uwiano sawa (50%) ila kuna chembe nyingine ambazo huwa zitawala (dorminant genes). Nahisi kama intelligence ni moja wapo. Kwa hiyo, mtoto anaweza kuonekana kuwa na akili kama mzazi mmoja kwa sababu hiyo gene ya intelligence inaimeza ile ambayo iko weak.

Ulichokieleza hapo ni nguvu ya mazingira katika kuimarisha genes (environmental influence on genetic factors). Pia umeeleza mambo yanayotokea kabla ya mtoto kuzaliwa ambayo yanaangukia kwenye kitu kinaitwa epigenetic influence on genes. Hii inatokea kwa sababu kuna baadhi ya proteins zinazowezesha genes kufanya kazi yake.

Ni somo pana ila kama kuna mtu anataka zaidi tuwasiliane!

Nimefanya a quick google search nimegundua kuwa approximately 50% ya our intelligence is inherited from parents - bado naendelea kutafuta kama mzazi mmoja anaweza kuwa na percentage gani kwa mwanae over the other parent.

Link: http://www.dailymail.co.uk/sciencet...intelligence-inherited-researchers-claim.html


Otherwise, kama alivyosema Paulo Sergio De Souz ni jukumu la wazazi kuhakikisha the rest 50% inapaliliwa na wao...'nurture'...which calls more for your thread..wewe babu na huyu kijana de souz.

See pic for more info...
 

Attachments

  • 1437818098760.jpg
    1437818098760.jpg
    47.8 KB · Views: 265
Last edited by a moderator:
Nilishajaribu kufanya research juu ya suala hilo, kwa kusoma vitabu, kudadisi kwenye internet na kufanya tathmini kwa baadhi ya watu niwajuao, nikaona kwenye vitabu au makala nyingi wameandika kuwa, kisayansi, it has been proved that, about 80 percent of a child's intelligence anarithi kwa mama. Then percent nyingine iliyobaki inategemea na lishe, mazingira, akili ya baba etc. Then nikafanya uchunguzi kwa baadhi ya watu niwajuao, kwa kuangalia background za wazazi wao, nikagundua ni kweli, mtoto anarithi asilimia kubwa ya IQ yake kutoka kwa mama.

Nami hii nilisikia miaka mingi iliyopita nikadhani labda kuna utafiti mwingine zaidi ya huu. % kubwa ni kutoka kwa mama.
 
Safest bet ili awe sharp kichwani ni mazingira tu unayomuandalia mwanao. Kuanzia mimba inapotungwa, mama inabidi awe stress-free na apate mahitaji yote muhimu. Lishe ni muhimu sana, miezi 6 ya mwanzo mtoto hatakiwi kugusa chochote zaidi ya maziwa ya mama yake, hata maji ya kunywa hayatakiwi. Akishavuka miezi 6 nadhani ndio anaweza kuanza kusagiwa mchanganyiko wa vyakula kama ndizi na samaki, viazi. Sembe na wali mwiko.

Akishafikisha miaka miwili nadhani ndio anaweza kukamua chochote, kwa sababu msingi utakuwa tayari umeshajengwa. Hii mambo aliniambia m'dingi kipindi flani so kuna vingine nimesahau, nitamuuliza fresh nikiwa tayari kufanya mambo.

Nadhani ukizingatia hayo, hata kama mama na baba mnatoka kizazi flani 'amaizing' na cha 'great thinkers', dogo atakuwa poa tu.

Mimi mtoto wangu sikumpa chochote zidi ya maziwa ya mama yake kwamiez 6 mfululizo sasa ana akili nyingi sana,ameweza kutumia smartphone yangu toka alipofikisha mwaka 1,had watu wanashangaa
 
Mimi mtoto wangu sikumpa chochote zidi ya maziwa ya mama yake kwamiez 6 mfululizo sasa ana akili nyingi sana,ameweza kutumia smartphone yangu toka alipofikisha mwaka 1,had watu wanashangaa

Palilia hiyo kitu na usimshangae wala kuruhusu watu wamshangae coz akianza kujifeel special ujinga utamuingia na atajiona amefika. Akiwa mtoto hivyo hivyo mtreat kama mtu mzima kitoto kitoto lakini na pia kumuongezea challenges zaidi mf; gadgets complicated kidogo, kumzungumzisha maneno kama mtu mzima na si kama mtoto ili awe na challenge ya kuongea kiufasaha, Buni michezo inayostimulate yeye kujua vitu zaidi, kaa nae kwenye laptop ukiwa unafanya kazi zako, tafuta toys za herufi na namba badala ya vigari au midoli. Mjenge apende kujifunza bila kuchoka. Usimcheke anapokosea na badala yake msahihishe kawaida tu n.k
 
Mwl wangu wa bios alinambia uridhi unatoka kwa mama coz during fertilization sperm kinachoingia ni kichwa tu,lkn yai la mwanamke linarutubishwa lote so 75% ni kutoka kwa mama
 
Palilia hiyo kitu na usimshangae wala kuruhusu watu wamshangae coz akianza kujifeel special ujinga utamuingia na atajiona amefika. Akiwa mtoto hivyo hivyo mtreat kama mtu mzima kitoto kitoto lakini na pia kumuongezea challenges zaidi mf; gadgets complicated kidogo, kumzungumzisha maneno kama mtu mzima na si kama mtoto ili awe na challenge ya kuongea kiufasaha, Buni michezo inayostimulate yeye kujua vitu zaidi, kaa nae kwenye laptop ukiwa unafanya kazi zako, tafuta toys za herufi na namba badala ya vigari au midoli. Mjenge apende kujifunza bila kuchoka. Usimcheke anapokosea na badala yake msahihishe kawaida tu n.k

Asante kwaushaur mzuri
 
Mwl wangu wa bios alinambia uridhi unatoka kwa mama coz during fertilization sperm kinachoingia ni kichwa tu,lkn yai la mwanamke linarutubishwa lote so 75% ni kutoka kwa mama

Huyo mwalimu anatakiwa kufutwa kazi mara moja!
 
Nimefanya a quick google search nimegundua kuwa approximately 50% ya our intelligence is inherited from parents - bado naendelea kutafuta kama mzazi mmoja anaweza kuwa na percentage gani kwa mwanae over the other parent.

Link: Thank your parents if you're smart: Up to 40% of a child's intelligence is inherited, researchers claim | Daily Mail Online


Otherwise, kama alivyosema Paulo Sergio De Souz ni jukumu la wazazi kuhakikisha the rest 50% inapaliliwa na wao...'nurture'...which calls more for your thread..wewe babu na huyu kijana de souz.

See pic for more info...

Mkuu hii ni profession ya watu wanaofanya genetics na sasa tumeenda kwenye genomics.

InshaAllah nikipata nafasi tukumbushane tupige nondo kidogo.

But the bottom line remains that parents pass equal amount of genes to their children.
 
Mtoto anarithi pande zote mbili katika uwiano sawa (50%) ila kuna chembe nyingine ambazo huwa zitawala (dorminant genes). Nahisi kama intelligence ni moja wapo. Kwa hiyo, mtoto anaweza kuonekana kuwa na akili kama mzazi mmoja kwa sababu hiyo gene ya intelligence inaimeza ile ambayo iko weak.

Ulichokisema hapo nami nilishakisema mara nyingi sana humu. Kwamba, wazazi wote wawili huchangia kwa asilimia sawa kwa mtoto.

Na kuhusu urithi wa akili, mtoto anaweza kurithi toka kwa mzazi yeyote yule, awe baba au mama, babu au bibi, shangazi au mjomba.

Hakuna guarantee kwamba kama baba na mama wana akili nyingi basi mtoto naye atakuwa na akili nyingi, ingawa uwezekano wa hivyo utakuwa mkubwa zaidi kuliko uwezekano wa mtoto kutokuwa na akili.

Na nimeshalishuhudia hilo [la mama na baba kuwa na akili lakini watoto wao hamna kitu kabisa].
 
Back
Top Bottom