Mtoto chini ya miaka 10 kumkatisha usingizi kisa masomo uchwara; Saa 11 Alfajiri?

Mtoto chini ya miaka 10 kumkatisha usingizi kisa masomo uchwara; Saa 11 Alfajiri?

Mi wangu yupo kayumba tena darasa la saba huwa napunguza vitabu nikiona begi limezidi uzito, mtoto asiporudi kula mchana, wanawauliza walimu kulikoni,
 
Mi wangu yupo kayumba tena darasa la saba huwa napunguza vitabu nikiona begi limezidi uzito, mtoto asiporudi kula mchana, wanawauliza walimu kulikoni,
😂😂😂😂😂
 
Baba kazini.
Mama kazini.
Mtoto kazini😄😄.

Unashangaa shule inatoza ada mpaka 3mln ila imeshindwa kuweka kiwango sahihi cha mtoto kufika shule,mtoto wako,hela zako na ananyooshwa.
 
Unakuta dogo anakaa mbezi au kibamba halafu anasoma bunge au olympio nyie!![emoji15] Duuh
Mtoto anakaa kibada...
Anasoma Filbert Bayi kimaraaa...!!!
Ili afike inampasa apande gari 2+panton!!
Sasa jiulize atoke saa ngap ili awah daah
 
Kosa ni la nani? Mpeleke shule karibu unapoishi. Wazazi lazima wawe na umoja wao shuleni, mabasi yawe mengi yanayowabeba watoto( unakuta skul bus 1 inazunguka kuwachukua wote, ndio mana wengine lazima wawe tayari saa 12 asb)
 
Kwema Wakuu!

Shida zako zisikufanye uwe Mpumbavu kiasi hicho mpaka umtese mtoto wako WA kumzaa mwenyewe. Yeye anamakosa gani gani umtese hivyo.
Yaani matatizo yako ya maisha unavyodhani yalisababishwa na wewe kutokusoma ndio unahamishia hasira na Mateso yote Kwa mtoto, huo ni upumbavu!
Aliyekuambia mtoto chini ya miaka kumi kumrokisha Alfajiri yote kabla ya Giza kuisha ahangaike kwenye magari ati ndio kumjengea msingi wa elimu ni Nani?

Acha kutesa watoto, nakuhakikishia hakuna watakalopata Huko mbeleni, ni kuwaumiza tuu. Sasa mtoto wa chini ya miaka kumi unamdamsha kisa elimu, elimu ipi hiyo hasa? Elimu yenyewe isingeruhusu kupokea watoto wadogo kiasi hicho.

Mtoto chini ya miaka sita anatakiwa apelekwe shule saa mbili, kumaanisha saa moja awe ameamka, na sio hiyo Saa kumi na moja.
Mtafutie mtoto shule ya karibu, sio lazima asome shule iliyombali mpaka apande magari.

Wazazi hawajielewi,
Waalimu wanaowapokea watoto nao hawajielewi,
Hao wenye shule wao wanachojali ni pesa tuu.
Kama ingekuwa ni bure unafikiri ingekuwa hivyo?

Mtoto wako mwenyewe,
Pesa yako mwenyewe bado uteseke, na umtese mwanao kisa vitu vya ajabu ajabu!

Taikon nawahakikishia hakuna la maana huko katika Elimu katika umri huo mpaka muwadamshe Alfajiri na mapema kiasi hicho.

Mtoto wa miaka 7-10 angalau huyu aamshwe kuanzia 12:30, ili Saa moja na nusu awe shuleni afanye walau usafi, saa mbili aanze masomo. Asome walau Kwa masaa sita tuu yenye Breki mbili. Saa nane au saa Tisa awe anarudi nyumbani.

Nitashangaa mtu amesoma tena Kwa kiwango cha Degree moja kwenda mbele ati anaruhusu vitoto vyake na kuvidamsha(kuviamsha) Alfajiri na mapema ati viende shule. Hiyo ni Dalili ya kutokuelimika, kuwa punguani,

Mambo ya muhimu katika umri wa miaka 10 Kurudi chini Kwa mtoto;
1. USINGIZI na LISHE
2. UPENDO NA MALEZI YA MZAZI(Sio mwalimu au mtu yeyote)
3. MICHEZO.

Usingizi ndio Jambo la Kwanza la kulizingatia Kwa mtoto aliyechini ya miaka 10 kuliko Jambo lolote baada ya Lishe.
Mtoto wa miaka hiyo atapaswa alale walau masaa 12 Kwa siku. 10 alale usiku, mawili alale mchana.

Huo ni umri wa mtoto Kula lishe kamili ili kuijenga Afya ya Mwili na akili,
Mtoto hata umpe lishe Bora Kama hapati usingizi wa kutosha hawezi kuwa Active hata ufanyeje, atakuwa kama zoba, atakuwa mzito Kama simu za kichina. Lishe kisha usingizi.

Baadaye michezo, michezo inamruhusu mtoto kuiona dunia vile Akili yake utakavyo, michezo humfanya mtoto ajifunze, pia kupitia michezo mzazi utagundua mtoto wako anakipaji na uwezo gani.
Sasa mtoto wa miaka 2-10 kaenda shule tangu saa 11 anarudi jioni amejichokea hivi huyo atakuwa mtoto au kitu gani, hivi utamjua mtoto wako anauwezo gani au anakipaji gani?

Unakuta mzazi bila aibu ati anaambiwa tabia ya Mtoto wake mwenyewe wa kumzaa na mwalimu alafu nalo(mzazi) linashangaa, halijui tabia za mtoto wake, wewe ni mzazi au mpuuzi tuu. Hivi unajua maana ya Baba? Hivi unajua maana ya Mama?
Hakuna Baba wala mama WA hivyo.

Mtoto kabla hajakabidhiwa ulimwenguni lazima mzazi umpe malezi na upendo ndani ya miaka 10, miaka kumi inatosha kabisa kumfanya mtoto vile ulivyokuwa unataka, kuanzia anazaliwa mpaka anafikisha miaka 10 mtoto lazima 90% ya elimu aitolee kwako na sio shuleni.

Shule muhimu kuliko yote ni shule ya wazazi, hizo shule watoto wanazovalishwa Sare hutoa 10% ya elimu ya maisha ya binadamu, lakini wazazi mtoto huchukua 90% ya elimu.
Shule ya wazazi ni halisi, wakati elimu ya shuleni unayo wapeleka watoto wako ni Nadharia tupu zaidi ya Asilimia 90.

Mambo mengi mtoto atakayojifunza kwenye maisha ya nyumbani ni applicable wakati ya huko shuleni waendako ni irrelevant kabisa na mazingira.

Mtoto aliyepata malezi ya wazazi kamili, ataishi na ataweza kuyakabili mazingira hata Kama asipoajiriwa tofauti na mtoto aliyesoma mashule mpaka akawa profesa, akikosa Ajira mazingira yatamshinda tuu.

Acheni kutesa watoto.
Sisi wengine tumeshasoma kidogo tunajua, hatuna la maana na hata nyie mnatuona, labda mkiona tumeajiriwa na tunapata viposho na tumishahara ndio mnadhani watoto wenu wakisoma watakuwa Kama sisi, si ndivyo,

Nani aliwaambia Sisi tulikuwa tunadamshwa Alfajiri kiasi hiki.

Taikon nikiwa Nursery shuleni nilikuwa napelekwa saa moja unusu, hapo ninamiaka mitano, na nilipaswa kusoma Kwa mwaka mmoja tuu niingie Darasa la Kwanza, saa sita hao tunarudi nyumbani.
Saa 12 kamili nilianza kuwahi shule nilipofika sekondari, tena labda nilikuwa nawahi ili nisome Ile Asubuhi kabla ya Usafi kuanza hapo nitasoma mpaka saa moja nikiwa nimefanya Usafi eneo langu. Kabla sijaanza kuleta usumbufu na Kupiga Stori na washikaji.

Alfajiri na mapema hiyo Saa tisa au saa kumi hapo watu tumeshakuwa watu wazima, aidha ni Kidato cha tatu mpaka cha sita ndio tunaamka Kupiga msuli, hiyo itaenda mpaka saa 11 unusu, tunaenda Kupiga Tizi kwa kukimbia mchaka mchaka, saa 12 mnaenda kuoga, wengine wanafanya Usafi kwenye Maeneo Yao, saa moja watu wapo darasani wanafanya homework wengine wanasoma, huku wasio na mood wanapiga Stori tukisubiri Kengele ya paredi.
Saa mbili juu ya alama, vipindi vinaanza, mbona rahisi Sana hivyo.
Hivyo ndivyo wengi wetu tulivyokuwa tunasoma, siye tuliobahatika kupasua anga la shule mpaka vyuo vikuu.

Sasa nashangaa mtoto chini ya miaka 10 anapewaje mamizigo ambayo hata mwanafunzi wa Kidato cha sita asingekuwa na muda nayo?
Ninyi wazazi mnajifanya mnauchungu na elimu, mbona mnachokifanya ni kinyume na elimu yenyewe?

Badilikeni, hiyo Elimu mnatowatesa nayo watoto wenu haitawasaidia Kwa lolote hapo baadaye, mnawatesa, mnawapotezea muda watoto, na chakusikitisha mnapoteza pesa na nguvu zenu bure.

Taikon nimemaliza.

Kwa sasa Taikon ameajiriwa Kama Konda wa Mabasi ya njano.
Umenena Mkuu pia kuna Mabegi wanayobebeshwa hawa watoto ni mizigo...
 
Kwema Wakuu!

Shida zako zisikufanye uwe Mpumbavu kiasi hicho mpaka umtese mtoto wako WA kumzaa mwenyewe. Yeye anamakosa gani gani umtese hivyo.
Yaani matatizo yako ya maisha unavyodhani yalisababishwa na wewe kutokusoma ndio unahamishia hasira na Mateso yote Kwa mtoto, huo ni upumbavu!
Aliyekuambia mtoto chini ya miaka kumi kumrokisha Alfajiri yote kabla ya Giza kuisha ahangaike kwenye magari ati ndio kumjengea msingi wa elimu ni Nani?

Acha kutesa watoto, nakuhakikishia hakuna watakalopata Huko mbeleni, ni kuwaumiza tuu. Sasa mtoto wa chini ya miaka kumi unamdamsha kisa elimu, elimu ipi hiyo hasa? Elimu yenyewe isingeruhusu kupokea watoto wadogo kiasi hicho.

Mtoto chini ya miaka sita anatakiwa apelekwe shule saa mbili, kumaanisha saa moja awe ameamka, na sio hiyo Saa kumi na moja.
Mtafutie mtoto shule ya karibu, sio lazima asome shule iliyombali mpaka apande magari.

Wazazi hawajielewi,
Waalimu wanaowapokea watoto nao hawajielewi,
Hao wenye shule wao wanachojali ni pesa tuu.
Kama ingekuwa ni bure unafikiri ingekuwa hivyo?

Mtoto wako mwenyewe,
Pesa yako mwenyewe bado uteseke, na umtese mwanao kisa vitu vya ajabu ajabu!

Taikon nawahakikishia hakuna la maana huko katika Elimu katika umri huo mpaka muwadamshe Alfajiri na mapema kiasi hicho.

Mtoto wa miaka 7-10 angalau huyu aamshwe kuanzia 12:30, ili Saa moja na nusu awe shuleni afanye walau usafi, saa mbili aanze masomo. Asome walau Kwa masaa sita tuu yenye Breki mbili. Saa nane au saa Tisa awe anarudi nyumbani.

Nitashangaa mtu amesoma tena Kwa kiwango cha Degree moja kwenda mbele ati anaruhusu vitoto vyake na kuvidamsha(kuviamsha) Alfajiri na mapema ati viende shule. Hiyo ni Dalili ya kutokuelimika, kuwa punguani,

Mambo ya muhimu katika umri wa miaka 10 Kurudi chini Kwa mtoto;
1. USINGIZI na LISHE
2. UPENDO NA MALEZI YA MZAZI(Sio mwalimu au mtu yeyote)
3. MICHEZO.

Usingizi ndio Jambo la Kwanza la kulizingatia Kwa mtoto aliyechini ya miaka 10 kuliko Jambo lolote baada ya Lishe.
Mtoto wa miaka hiyo atapaswa alale walau masaa 12 Kwa siku. 10 alale usiku, mawili alale mchana.

Huo ni umri wa mtoto Kula lishe kamili ili kuijenga Afya ya Mwili na akili,
Mtoto hata umpe lishe Bora Kama hapati usingizi wa kutosha hawezi kuwa Active hata ufanyeje, atakuwa kama zoba, atakuwa mzito Kama simu za kichina. Lishe kisha usingizi.

Baadaye michezo, michezo inamruhusu mtoto kuiona dunia vile Akili yake utakavyo, michezo humfanya mtoto ajifunze, pia kupitia michezo mzazi utagundua mtoto wako anakipaji na uwezo gani.
Sasa mtoto wa miaka 2-10 kaenda shule tangu saa 11 anarudi jioni amejichokea hivi huyo atakuwa mtoto au kitu gani, hivi utamjua mtoto wako anauwezo gani au anakipaji gani?

Unakuta mzazi bila aibu ati anaambiwa tabia ya Mtoto wake mwenyewe wa kumzaa na mwalimu alafu nalo(mzazi) linashangaa, halijui tabia za mtoto wake, wewe ni mzazi au mpuuzi tuu. Hivi unajua maana ya Baba? Hivi unajua maana ya Mama?
Hakuna Baba wala mama WA hivyo.

Mtoto kabla hajakabidhiwa ulimwenguni lazima mzazi umpe malezi na upendo ndani ya miaka 10, miaka kumi inatosha kabisa kumfanya mtoto vile ulivyokuwa unataka, kuanzia anazaliwa mpaka anafikisha miaka 10 mtoto lazima 90% ya elimu aitolee kwako na sio shuleni.

Shule muhimu kuliko yote ni shule ya wazazi, hizo shule watoto wanazovalishwa Sare hutoa 10% ya elimu ya maisha ya binadamu, lakini wazazi mtoto huchukua 90% ya elimu.
Shule ya wazazi ni halisi, wakati elimu ya shuleni unayo wapeleka watoto wako ni Nadharia tupu zaidi ya Asilimia 90.

Mambo mengi mtoto atakayojifunza kwenye maisha ya nyumbani ni applicable wakati ya huko shuleni waendako ni irrelevant kabisa na mazingira.

Mtoto aliyepata malezi ya wazazi kamili, ataishi na ataweza kuyakabili mazingira hata Kama asipoajiriwa tofauti na mtoto aliyesoma mashule mpaka akawa profesa, akikosa Ajira mazingira yatamshinda tuu.

Acheni kutesa watoto.
Sisi wengine tumeshasoma kidogo tunajua, hatuna la maana na hata nyie mnatuona, labda mkiona tumeajiriwa na tunapata viposho na tumishahara ndio mnadhani watoto wenu wakisoma watakuwa Kama sisi, si ndivyo,

Nani aliwaambia Sisi tulikuwa tunadamshwa Alfajiri kiasi hiki.

Taikon nikiwa Nursery shuleni nilikuwa napelekwa saa moja unusu, hapo ninamiaka mitano, na nilipaswa kusoma Kwa mwaka mmoja tuu niingie Darasa la Kwanza, saa sita hao tunarudi nyumbani.
Saa 12 kamili nilianza kuwahi shule nilipofika sekondari, tena labda nilikuwa nawahi ili nisome Ile Asubuhi kabla ya Usafi kuanza hapo nitasoma mpaka saa moja nikiwa nimefanya Usafi eneo langu. Kabla sijaanza kuleta usumbufu na Kupiga Stori na washikaji.

Alfajiri na mapema hiyo Saa tisa au saa kumi hapo watu tumeshakuwa watu wazima, aidha ni Kidato cha tatu mpaka cha sita ndio tunaamka Kupiga msuli, hiyo itaenda mpaka saa 11 unusu, tunaenda Kupiga Tizi kwa kukimbia mchaka mchaka, saa 12 mnaenda kuoga, wengine wanafanya Usafi kwenye Maeneo Yao, saa moja watu wapo darasani wanafanya homework wengine wanasoma, huku wasio na mood wanapiga Stori tukisubiri Kengele ya paredi.
Saa mbili juu ya alama, vipindi vinaanza, mbona rahisi Sana hivyo.
Hivyo ndivyo wengi wetu tulivyokuwa tunasoma, siye tuliobahatika kupasua anga la shule mpaka vyuo vikuu.

Sasa nashangaa mtoto chini ya miaka 10 anapewaje mamizigo ambayo hata mwanafunzi wa Kidato cha sita asingekuwa na muda nayo?
Ninyi wazazi mnajifanya mnauchungu na elimu, mbona mnachokifanya ni kinyume na elimu yenyewe?

Badilikeni, hiyo Elimu mnatowatesa nayo watoto wenu haitawasaidia Kwa lolote hapo baadaye, mnawatesa, mnawapotezea muda watoto, na chakusikitisha mnapoteza pesa na nguvu zenu bure.

Taikon nimemaliza.

Kwa sasa Taikon ameajiriwa Kama Konda wa Mabasi ya njano.
umeongea jambo la msingi sana,ada nalipa mwenyewe halafu mwanangu ateseke nimekataa,kama miaka 4 kanaelekea mi 5,kanasoma chekechea nimemwambia mwalimu muda wa kumfuata saa 2 na nusu!!haamshwi mpaka aamke mwenyew akichelewa kuamka nawaambia wamuache tu,ataenda kesho elimu siyo vita! Gari anapanda Noah naona ni comfotable kidogo!
 
umeongea jambo la msingi sana,ada nalipa mwenyewe halafu mwanangu ateseke nimekataa,kama miaka 4 kanaelekea mi 5,kanasoma chekechea nimemwambia mwalimu muda wa kumfuata saa 2 na nusu!!haamshwi mpaka aamke mwenyew akichelewa kuamka nawaambia wamuache tu,ataenda kesho elimu siyo vita! Gari anapanda Noah naona ni comfotable kidogo!


Huyo sasa ndio anaishi. Sio mtoto ale msoto hata hajajitambua wakati kuna nafasi ya kumuepusha na madhila ya Dunia
 
Kimoja kitoto kilikua kizuri Sana ,Kama kiarabu hivi Kila nikitoka zangu chuo nakutana nacho kwenye daladala kimetoka makongo kimechoka Sana kinasoma 4m two. Nyumbani bunju ,Basi tukawamarafiki nikiwahi siti namuachia ikaenda weeeee mwisho nitakuja kuhadithia.
 
Kimoja kitoto kilikua kizuri Sana ,Kama kiarabu hivi Kila nikitoka zangu chuo nakutana nacho kwenye daladala kimetoka makongo kimechoka Sana kinasoma 4m two. Nyumbani bunju ,Basi tukawamarafiki nikiwahi siti namuachia ikaenda weeeee mwisho nitakuja kuhadithia.


Tunasubiri Mkasa
 
Yupo darasa la ngapi mkuu?

Shuleni hamna lockers?

Awe anabeba safari za somo alilopewa homework pekeee na ufunguo wake?

Kwenye kikao cha wazazi kapendekeze hili.
Nina watoto wawili, mmoja yupo darasa la kwanza na mwingine yupo darasa la tano. Wote wapo shule moja

Ahsante nitaufanyia kazi ushauri wako

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Shule za Bweni zipo shida ya nini si.mtu apeleke bweni tu.Primary zipo kibao na sekondari kibao
Sasa hui ndio ujinga mwingine, mtoto under 15 umpeleke bweni?
Ndio maana siku watu wanalalamika vijana hawana upendo kwa wazazi wao, upendo utoke wapi kama jukumu na kulea unawaachia walimu na matron, hajuja bond hapo.
Ni ujinga wa kiwango cha juu mtoto mdogo kumpeleka boarding. Kuna mambo mengi wanapitia huko boarding ambayo hutokaa uyafahamu.
 
Kwema Wakuu!

Shida zako zisikufanye uwe Mpumbavu kiasi hicho mpaka umtese mtoto wako WA kumzaa mwenyewe. Yeye anamakosa gani gani umtese hivyo.
Yaani matatizo yako ya maisha unavyodhani yalisababishwa na wewe kutokusoma ndio unahamishia hasira na Mateso yote Kwa mtoto, huo ni upumbavu!
Aliyekuambia mtoto chini ya miaka kumi kumrokisha Alfajiri yote kabla ya Giza kuisha ahangaike kwenye magari ati ndio kumjengea msingi wa elimu ni Nani?

Acha kutesa watoto, nakuhakikishia hakuna watakalopata Huko mbeleni, ni kuwaumiza tuu. Sasa mtoto wa chini ya miaka kumi unamdamsha kisa elimu, elimu ipi hiyo hasa? Elimu yenyewe isingeruhusu kupokea watoto wadogo kiasi hicho.

Mtoto chini ya miaka sita anatakiwa apelekwe shule saa mbili, kumaanisha saa moja awe ameamka, na sio hiyo Saa kumi na moja.
Mtafutie mtoto shule ya karibu, sio lazima asome shule iliyombali mpaka apande magari.

Wazazi hawajielewi,
Waalimu wanaowapokea watoto nao hawajielewi,
Hao wenye shule wao wanachojali ni pesa tuu.
Kama ingekuwa ni bure unafikiri ingekuwa hivyo?

Mtoto wako mwenyewe,
Pesa yako mwenyewe bado uteseke, na umtese mwanao kisa vitu vya ajabu ajabu!

Taikon nawahakikishia hakuna la maana huko katika Elimu katika umri huo mpaka muwadamshe Alfajiri na mapema kiasi hicho.

Mtoto wa miaka 7-10 angalau huyu aamshwe kuanzia 12:30, ili Saa moja na nusu awe shuleni afanye walau usafi, saa mbili aanze masomo. Asome walau Kwa masaa sita tuu yenye Breki mbili. Saa nane au saa Tisa awe anarudi nyumbani.

Nitashangaa mtu amesoma tena Kwa kiwango cha Degree moja kwenda mbele ati anaruhusu vitoto vyake na kuvidamsha(kuviamsha) Alfajiri na mapema ati viende shule. Hiyo ni Dalili ya kutokuelimika, kuwa punguani,

Mambo ya muhimu katika umri wa miaka 10 Kurudi chini Kwa mtoto;
1. USINGIZI na LISHE
2. UPENDO NA MALEZI YA MZAZI(Sio mwalimu au mtu yeyote)
3. MICHEZO.

Usingizi ndio Jambo la Kwanza la kulizingatia Kwa mtoto aliyechini ya miaka 10 kuliko Jambo lolote baada ya Lishe.
Mtoto wa miaka hiyo atapaswa alale walau masaa 12 Kwa siku. 10 alale usiku, mawili alale mchana.

Huo ni umri wa mtoto Kula lishe kamili ili kuijenga Afya ya Mwili na akili,
Mtoto hata umpe lishe Bora Kama hapati usingizi wa kutosha hawezi kuwa Active hata ufanyeje, atakuwa kama zoba, atakuwa mzito Kama simu za kichina. Lishe kisha usingizi.

Baadaye michezo, michezo inamruhusu mtoto kuiona dunia vile Akili yake utakavyo, michezo humfanya mtoto ajifunze, pia kupitia michezo mzazi utagundua mtoto wako anakipaji na uwezo gani.
Sasa mtoto wa miaka 2-10 kaenda shule tangu saa 11 anarudi jioni amejichokea hivi huyo atakuwa mtoto au kitu gani, hivi utamjua mtoto wako anauwezo gani au anakipaji gani?

Unakuta mzazi bila aibu ati anaambiwa tabia ya Mtoto wake mwenyewe wa kumzaa na mwalimu alafu nalo(mzazi) linashangaa, halijui tabia za mtoto wake, wewe ni mzazi au mpuuzi tuu. Hivi unajua maana ya Baba? Hivi unajua maana ya Mama?
Hakuna Baba wala mama WA hivyo.

Mtoto kabla hajakabidhiwa ulimwenguni lazima mzazi umpe malezi na upendo ndani ya miaka 10, miaka kumi inatosha kabisa kumfanya mtoto vile ulivyokuwa unataka, kuanzia anazaliwa mpaka anafikisha miaka 10 mtoto lazima 90% ya elimu aitolee kwako na sio shuleni.

Shule muhimu kuliko yote ni shule ya wazazi, hizo shule watoto wanazovalishwa Sare hutoa 10% ya elimu ya maisha ya binadamu, lakini wazazi mtoto huchukua 90% ya elimu.
Shule ya wazazi ni halisi, wakati elimu ya shuleni unayo wapeleka watoto wako ni Nadharia tupu zaidi ya Asilimia 90.

Mambo mengi mtoto atakayojifunza kwenye maisha ya nyumbani ni applicable wakati ya huko shuleni waendako ni irrelevant kabisa na mazingira.

Mtoto aliyepata malezi ya wazazi kamili, ataishi na ataweza kuyakabili mazingira hata Kama asipoajiriwa tofauti na mtoto aliyesoma mashule mpaka akawa profesa, akikosa Ajira mazingira yatamshinda tuu.

Acheni kutesa watoto.
Sisi wengine tumeshasoma kidogo tunajua, hatuna la maana na hata nyie mnatuona, labda mkiona tumeajiriwa na tunapata viposho na tumishahara ndio mnadhani watoto wenu wakisoma watakuwa Kama sisi, si ndivyo,

Nani aliwaambia Sisi tulikuwa tunadamshwa Alfajiri kiasi hiki.

Taikon nikiwa Nursery shuleni nilikuwa napelekwa saa moja unusu, hapo ninamiaka mitano, na nilipaswa kusoma Kwa mwaka mmoja tuu niingie Darasa la Kwanza, saa sita hao tunarudi nyumbani.
Saa 12 kamili nilianza kuwahi shule nilipofika sekondari, tena labda nilikuwa nawahi ili nisome Ile Asubuhi kabla ya Usafi kuanza hapo nitasoma mpaka saa moja nikiwa nimefanya Usafi eneo langu. Kabla sijaanza kuleta usumbufu na Kupiga Stori na washikaji.

Alfajiri na mapema hiyo Saa tisa au saa kumi hapo watu tumeshakuwa watu wazima, aidha ni Kidato cha tatu mpaka cha sita ndio tunaamka Kupiga msuli, hiyo itaenda mpaka saa 11 unusu, tunaenda Kupiga Tizi kwa kukimbia mchaka mchaka, saa 12 mnaenda kuoga, wengine wanafanya Usafi kwenye Maeneo Yao, saa moja watu wapo darasani wanafanya homework wengine wanasoma, huku wasio na mood wanapiga Stori tukisubiri Kengele ya paredi.
Saa mbili juu ya alama, vipindi vinaanza, mbona rahisi Sana hivyo.
Hivyo ndivyo wengi wetu tulivyokuwa tunasoma, siye tuliobahatika kupasua anga la shule mpaka vyuo vikuu.

Sasa nashangaa mtoto chini ya miaka 10 anapewaje mamizigo ambayo hata mwanafunzi wa Kidato cha sita asingekuwa na muda nayo?
Ninyi wazazi mnajifanya mnauchungu na elimu, mbona mnachokifanya ni kinyume na elimu yenyewe?

Badilikeni, hiyo Elimu mnatowatesa nayo watoto wenu haitawasaidia Kwa lolote hapo baadaye, mnawatesa, mnawapotezea muda watoto, na chakusikitisha mnapoteza pesa na nguvu zenu bure.

Taikon nimemaliza.

Kwa sasa Taikon ameajiriwa Kama Konda wa Mabasi ya njano.
Ndio maana nawaambia kila siku toeni watoto wenu shule za EM muwarudishe Kayumba. Acheni kuji stress na kuwa stress bure watoto wenu
 
Back
Top Bottom