Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Inatakiwa mtoto atazame program maalum kwaajiri yake. Ila shida ya siku hizi stations hazina usimamizi mzuri kama miaka yetu.
Back in the 1990's vipindi vilikuwa vya maadili na vya kufunza tamaduni za kitanzania na kiafrika. Ila kwasasa umagharibi mwingi sana watoto wanaona viroja na kujifunza mambo ambayo yanawashape vibaya sana kimakuzi.
Stations za sasa muda mwingi ni nyimbo za naijeria na za wasafi classic. Nyimbo zenyewe ni mapenzi 99%. Mameneja vipindi wamelala hawahangaiki kutafuta vipaji na project za kuonyesha ambazo zitakuwa na mlengo mzuri kwa watoto.
Media ndio namba one programing tool kwa sasa karne hii ya 21. Tusipokuwa makini 100 years from now tutafuta kila zuri la jamii hii na mabaya yatakuwa ni kawaida sana.
Kwa mfano kwa sasa tunashangaa why watoto wadogo wanaanza jihusisha na ngono yaani unakuta binti 14 years hana bikra , dogo wa miaka 12 tayari amesha chomeka mjusi wake ukeni kwa mwanamke tena mkubwa kwake. Haya ni matokeo ya media exposure na umakini mdogo sana wa hao programers huko mitambonii vipindi vinaporushwa hewani.
Watoto wapo exposed kwenye vipindi vyenye influence ya ngono nyuma ya pazia kama Pillow talk, sijui ala za roho, tamthiria za wanaojiita Bongo movie, miziki ambayo inahamasisha ngono yote katika kivuli cha Vipindi vya mapenzi.
Hakuna program za kujenga akili positive bali program za kupumbaza vijana wasiwe na makuzi ya ujenzi wa taifa bali kulidhoofisha na kuharibu ustawi wa jamii kwa mapana yote.
Hawa viongozi wenyewe tunaowaweka katika nyanja za uongozi huwa tunapofanya uchaguzi huwa tunawachagua kwa utaratibu wa kupuuza mabaya kumi na kuchukua zuri moja tunasahau kuwa uongozi ni dhamana ya wananchi wanaotaka mabadiliko chanya na kuweka msingi wa mfano wa kuigwa.
Leo ukimuona binti kama Jokate, kila mtu anasifia kuwa amejenga shule ya darasa tatu kisarawe kama mkuu wa wilaya ila tunasahau alipopanda pale jukwaa sijui la fiesta na kutwerk,au Namna ya mahusiano kuruka na watu maarufu kadhaa kwa kuwabadili moja na kuweka mwingine. Leo ukimsema huyu kandidate utaambiwa una chuki binafsi,unawivu sijui una nini ili mradi tu watu wakuzime,yote hii ni matokeo ya programs za media na kupungua kwa usimamizi wa maadili katika jamii tunaona ni sawa tuambo kwenda vile yanaenda sawa.
Sisemi kuwa watu hatukosei ila nasema hebu tujaribu kutafuta watu walioishi kwa maadili ya juu na wanaotoka familia za maadili mfano wa kuigwa ili wawe viongozi na sio kila anaeongea sana basi anapewa shavu. Uongozi ni standards na sio matamanio ya mtu kuwa pahala fulani.
So yote kwa yote kwasasa naona tumeshafika pabaya kuhusu tv na program zake. Kama hautazami watoto wako wanatakazama nini na kujifunza nini usishangae kuona mienendo yao ikibadilika.
Back in the 1990's vipindi vilikuwa vya maadili na vya kufunza tamaduni za kitanzania na kiafrika. Ila kwasasa umagharibi mwingi sana watoto wanaona viroja na kujifunza mambo ambayo yanawashape vibaya sana kimakuzi.
Stations za sasa muda mwingi ni nyimbo za naijeria na za wasafi classic. Nyimbo zenyewe ni mapenzi 99%. Mameneja vipindi wamelala hawahangaiki kutafuta vipaji na project za kuonyesha ambazo zitakuwa na mlengo mzuri kwa watoto.
Media ndio namba one programing tool kwa sasa karne hii ya 21. Tusipokuwa makini 100 years from now tutafuta kila zuri la jamii hii na mabaya yatakuwa ni kawaida sana.
Kwa mfano kwa sasa tunashangaa why watoto wadogo wanaanza jihusisha na ngono yaani unakuta binti 14 years hana bikra , dogo wa miaka 12 tayari amesha chomeka mjusi wake ukeni kwa mwanamke tena mkubwa kwake. Haya ni matokeo ya media exposure na umakini mdogo sana wa hao programers huko mitambonii vipindi vinaporushwa hewani.
Watoto wapo exposed kwenye vipindi vyenye influence ya ngono nyuma ya pazia kama Pillow talk, sijui ala za roho, tamthiria za wanaojiita Bongo movie, miziki ambayo inahamasisha ngono yote katika kivuli cha Vipindi vya mapenzi.
Hakuna program za kujenga akili positive bali program za kupumbaza vijana wasiwe na makuzi ya ujenzi wa taifa bali kulidhoofisha na kuharibu ustawi wa jamii kwa mapana yote.
Hawa viongozi wenyewe tunaowaweka katika nyanja za uongozi huwa tunapofanya uchaguzi huwa tunawachagua kwa utaratibu wa kupuuza mabaya kumi na kuchukua zuri moja tunasahau kuwa uongozi ni dhamana ya wananchi wanaotaka mabadiliko chanya na kuweka msingi wa mfano wa kuigwa.
Leo ukimuona binti kama Jokate, kila mtu anasifia kuwa amejenga shule ya darasa tatu kisarawe kama mkuu wa wilaya ila tunasahau alipopanda pale jukwaa sijui la fiesta na kutwerk,au Namna ya mahusiano kuruka na watu maarufu kadhaa kwa kuwabadili moja na kuweka mwingine. Leo ukimsema huyu kandidate utaambiwa una chuki binafsi,unawivu sijui una nini ili mradi tu watu wakuzime,yote hii ni matokeo ya programs za media na kupungua kwa usimamizi wa maadili katika jamii tunaona ni sawa tuambo kwenda vile yanaenda sawa.
Sisemi kuwa watu hatukosei ila nasema hebu tujaribu kutafuta watu walioishi kwa maadili ya juu na wanaotoka familia za maadili mfano wa kuigwa ili wawe viongozi na sio kila anaeongea sana basi anapewa shavu. Uongozi ni standards na sio matamanio ya mtu kuwa pahala fulani.
So yote kwa yote kwasasa naona tumeshafika pabaya kuhusu tv na program zake. Kama hautazami watoto wako wanatakazama nini na kujifunza nini usishangae kuona mienendo yao ikibadilika.