kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
najiuliza hapa dirisha lingekuwa wazi kokoto ipitilize na imkute abirie aliyekaa dirishani ....angekufa ingemtoboa kichwa pasiposhaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spidi ya ajabu inaanzia speed ngapi?Shabaha kwenye basi lenye ukubwa kama nyumba? Acheni bhana, wenye shabaha tulikuwa tunalenga njiwa angani akiwa kwenye spidi ya ajabu.
Kabisa kabisaSasa hao ndiyo masniper wa baadaye ,achukuliwe haraka huyo apelekwe makao .
Toto tundu. Wazazi wamempa bibi mzigo. Dogo anakuwa maarifu Kwa uharibifuMtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Umewaza mbali sana mkuu....najiuliza hapa dirisha lingekuwa wazi kokoto ipitilize na imkute abirie aliyekaa dirishani ....angekufa ingemtoboa kichwa pasiposhaka
Kuna watu Wana vipaji balaa..Kuna mwingine alikua anaitwa omary
Taarifa imfikie Shabibby, amrudishie fedha huyo bibi masikini. Dereva maadamu anijua nyumba ya huyo bibi na bibi alikuwa tayari kulipa, ingebidi akamjulishe Shabibby kuhusu tukio na utayari wa bibi kulipa badala ya kuzipokea hizo pesa.Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Huwenda alikopa...Huyo Bibi inaonekana ni wa kishua,
Bibi wa Kijijini anatoa Shs 170,000 tena za ghafla tu.
Bila kusahau tuliwinda tetere, shorobwenzi na huyo njiwa pori ...Kuna watu Wana vipaji balaa..
Ila sisi tulikua hatupigi magari Wala watu..
Sisi tuliwinda DODOLIMA, NJIWA PORI, TYE TYE TYE, E.t.c
Angekua ni mwanangu,ningempeleka jeshini kitengo cha Snipers,na cheti chake cha malipo ya Tshs 170,000 kama experience letter.Huwenda alikopa...
Ila leo naamini dogo ana hali mbaya ahahah
Umaarufu wa siku mbili alaaaaah ila tayar 170k imetola kwa tukio la dakika moja na sekunde 12Toto tundu. Wazazi wamempa bibi mzigo. Dogo anakuwa maarifu Kwa uharibifu
Ahahaha daaahTaarifa imfikie Shabibby, amrudishie fedha huyo bibi masikini. Dereva maadamu anijua nyumba ya huyo bibi na bibi alikuwa tayari kulipa, ingebidi akamjulishe Shabibby kuhusu tukio na utayari wa bibi kulipa badala ya kuzipokea hizo pesa.
Kwako Shabibby nenda binafsi kamkabidhi pesa hizo huyo bibi, Mungu atakubariki na biashata yako itashamiri.
Inabidi achapwe fimbo miambiliMtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Jeshini kuwa snipers sio ishu ndogo mkuuu oooh ooooh oooh acha kabisaAngekua ni mwanangu,ningempeleka jeshini kitengo cha Snipers,na cheti chake cha malipo ya Tshs 170,000 kama experience letter.
Mtoto ka huyo achapwi mkuuInabidi achapwe fimbo miambili
Ahahaha daahKabisa kabisa
Kama jeshini Snipers wapo,basi inawezekana tu,ingekua hakuna hata Sniper mmoja,ningeamini kua sio issue ndogo,Jeshini kuwa snipers sio ishu ndogo mkuuu oooh ooooh oooh acha kabisa
Assume dirisha lingekua wazi...?Hatari sana