Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ahahahahha dadekWakianza kumletea pigo za maandamano atapoteza malengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahha dadekWakianza kumletea pigo za maandamano atapoteza malengo.
Ahahahah nionje sumu etSiyo kwa mtoto wa miaka 4,chukua manati mpe mtoto wa miaka 4 alafu simama MITA 7 mwambie akupige wewe.
Kabisa,kama Bus lilikua linakwenda mbele ya huyo mtoto,basi speed ya Bus,inachangia kwa jiwe la manati kuvunja kioo.Mkuu gari sio kwamba lilikua stationary.... Au sijaelewa labda..
Kama gari lilikua linatembea hiko kitu ni possible...
Hiyo ndio physicsKabisa,kama Bus lilikua linakwenda mbele ya huyo mtoto,basi speed ya Bus,inachangia kwa jiwe la manati kuvunja kioo.
sana ,kama kioo kinapasuka fikiria imekupa jichoni harafu watoto tunawachekea tu ,shabaha na bibi yake hulipia gharamaUmewaza mbali sana mkuu....
Hapo kama abilia angekua tayar hana jicho sijui ingekuaje...
Watu wamekazania kipaji kipaji.. wakati ni tabia mbaya hii
Tupo daslamNimesikia kuhusu bibi! Baba na mama wa mtoto wapo wapi?
Kwa gharama aliyotoa bibi mtu haijarishi kakopa au katumiwa na wazazi ila wamejifunza kitu hapo...sana ,kama kioo kinapasuka fikiria imekupa jichoni harafu watoto tunawachekea tu ,shabaha na bibi yake hulipia gharama
Haya mambo tungemuachia kibatalaWataalamu wa sheria hebu mtuekeze,kama hiyo kesi ingeenda Mahakamani,hukumu ingekuaje? Kumbuka mtoto ni 4 years old.
Dogo kawa professional mdunguaji yawezekana baada ya kuangalia movie za masniper.Sasa hao ndiyo masniper wa baadaye ,achukuliwe haraka huyo apelekwe makao .
Tena viboko vingi sana...Mtoto anapataje mawazo ya kufyatulia manati gari..
Anatakiwa waibanike mikono yake kwenye moto Ili atie akili ""nidhamu haiji bila woga"" niamini Mimi dogo akabidhiwe mikononi mwa YESU KRISTO WA NAZARETH yeye ndie mlezi MKUU
Hapo tusubiri gari lingine tena..Tena viboko vingi sana...
Maana atakuwa anampa Bibi yake hasara kila leo...
Kama hapo tu Bibi 170,000/=.
Ingependeza ungetumia neno "Baadhi"Watoto wanaolelewa na bibi huwa hawanaga nidhamu
Kweli dogo ata msababishia bibi hasara nyingi sanaaa..Tena viboko vingi sana...
Maana atakuwa anampa Bibi yake hasara kila leo...
Kama hapo tu Bibi 170,000/=.
Kwa kweli na kwenye KIPAGO tulipaka damu za ndege tulio waua..Bila kusahau tuliwinda tetere, shorobwenzi na huyo njiwa pori ...
Ni marufuku kuonekana na manati sehemu za makazi ya watu...
Alafu tunaweka sponje kwenye kiberenge ili iwe kama lubricant isije katika...Kwa kweli na kwenye KIPAGO tulipaka damu za ndege tulio waua..
Huyo dogo aangaliwe kwa umakini maana anaweza mletea shida bibi yake..