Mtoto miaka 4 apasua kioo cha basi la Shabiby kwa manati

Mtoto miaka 4 apasua kioo cha basi la Shabiby kwa manati

Taarifa imfikie Shabibby, amrudishie fedha huyo bibi masikini. Dereva maadamu anijua nyumba ya huyo bibi na bibi alikuwa tayari kulipa, ingebidi akamjulishe Shabibby kuhusu tukio na utayari wa bibi kulipa badala ya kuzipokea hizo pesa.
Kwako Shabibby nenda binafsi kamkabidhi pesa hizo huyo bibi, Mungu atakubariki na biashata yako itashamiri.
Huyo bibi kafanya uungwana sana angesema hana kitu cha kulipa wasingemfanya chochote, na mtoto wasingempeleka popote

Huyo mtoto alikua wa kuchapa fimbo kashaa za onyo na kalipio
 
Huyo bibi kafanya uungwana sana angesema hana kitu cha kulipa wasingemfanya chochote, na mtoto wasingempeleka popote

Huyo mtoto alikua wa kuchapa fimbo kashaa za onyo na kalipio
Na wewe unaamini kweli Bibi alilipa hiyo hela. Labda kama alikua nazo za mchezo
 
Hao ndo magaidi
Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati

Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.

Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.

Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.

Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.

Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.

Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo

Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania

USSR
Hao ndo magaidi wa baadae
 
Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati

Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.

Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.

Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.

Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.

Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.

Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo

Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania

USSR
Ametumia risasi?

Vioo vya madirisha ya abiria materials zilizotumika kutengenezea ni plastic.

Halafu kioo cha dereva ni glass ambayo katikati kuna material kama gundi, hata kukitokea ajali huwa vinasagika kwa kukunjika.

Sijaridhika na maelezo namna ilivyotokea, nguvu ya manati kuweza kuvunja kioo cha plastick, how comes!
 
Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati

Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.

Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.

Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.

Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.

Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.

Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo

Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania

USSR
Mtoto huyo aachwe jinsi alivyo ila afuatiliwe na baadaye ajiunge na jeshi na kupelekwa kitengo cha kulenga shabaha.
 
Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati

Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.

Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.

Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.

Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.

Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.

Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo

Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania

USSR
Kuna mtoto pia alipata kioo kwa manati nikamfukuza a kakimbilia kwa bibi yake bibi akasema huyu mtoto nmeshindwa kwa tabia zake wazaz wake kuja nikawaambia walipe laki moja wakasema hawana hela ya kulipa labda nichukue kuku mmoja na bâti 3 ndvyo walivyo navyo nikaamua kuondoka tu
 
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.

Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Akamatwe kwanza anyetengeneza manati na kuwaachia watoto, ipo siku atamtoa mtu jicho, silaha yoyote ina miiko yake kabla haijakabidhiwa kwa mtu
 
Back
Top Bottom