Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Huyo bibi kafanya uungwana sana angesema hana kitu cha kulipa wasingemfanya chochote, na mtoto wasingempeleka popoteTaarifa imfikie Shabibby, amrudishie fedha huyo bibi masikini. Dereva maadamu anijua nyumba ya huyo bibi na bibi alikuwa tayari kulipa, ingebidi akamjulishe Shabibby kuhusu tukio na utayari wa bibi kulipa badala ya kuzipokea hizo pesa.
Kwako Shabibby nenda binafsi kamkabidhi pesa hizo huyo bibi, Mungu atakubariki na biashata yako itashamiri.
Mtoto ana haribikiwaTupo daslam
Na wewe unaamini kweli Bibi alilipa hiyo hela. Labda kama alikua nazo za mchezoHuyo bibi kafanya uungwana sana angesema hana kitu cha kulipa wasingemfanya chochote, na mtoto wasingempeleka popote
Huyo mtoto alikua wa kuchapa fimbo kashaa za onyo na kalipio
Tumemfundisha shabahaMtoto ana haribikiwa
😆😆Tumemfundisha shabaha
Hao ndo magaidi wa baadaeMtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Huyu hana tofauti na aliyemuua Goliath kwa kombeoHao ndo magaidi
Hao ndo magaidi wa baadae
Ametumia risasi?Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
wanakula maisha SinzaNimesikia kuhusu bibi! Baba na mama wa mtoto wapo wapi?
Mtoto huyo aachwe jinsi alivyo ila afuatiliwe na baadaye ajiunge na jeshi na kupelekwa kitengo cha kulenga shabaha.Mtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Unapiga jiwe mita moja uelekeo wa huyo njiwa mbona simple tu jiwe anakutana nalo.Dogo mmoja anaitwa Goodluck alikua anashabaha za ajab yaan akilenga imo wengine tumeshuhudia na pia tume piga manati sanaaa..
Yes sio mchezo mzeeUnapiga jiwe mita moja uelekeo wa huyo njiwa mbona simple tu jiwe anakutana nalo.
Kuna mtoto pia alipata kioo kwa manati nikamfukuza a kakimbilia kwa bibi yake bibi akasema huyu mtoto nmeshindwa kwa tabia zake wazaz wake kuja nikawaambia walipe laki moja wakasema hawana hela ya kulipa labda nichukue kuku mmoja na bâti 3 ndvyo walivyo navyo nikaamua kuondoka tuMtoto wa miaka 4 avunja kioo cha Shabiby kwa manati
Basi la Shabiby Line lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma lilichelewa kwa takriban saa moja na nusu Agosti 14, 2024, baada ya mtoto wa miaka minne wa Kijiji cha Ndolela, Iringa, kuvunja dirisha la basi kwa manati kutokea upande wa pili wa barabara.
Mtoto huyo ambaye pia alisababisha kisa kama hicho hapo awali, alikimbilia kwa bibi yake baada ya usumbufu huo.
Abiria walishuka kumtafuta mtoto huyo ambaye hatimaye alipatikana amejificha. Katika tukio la awali, bibi wa mtoto huyo alilipa Sh170,000 kufidia uharibifu huo.
Basi hilo ambalo awali lilitakiwa kuwasili Dodoma saa 2:30 usiku, lilifika saa 4:15 lilipoelekea.
Ingawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
Credit: DJ Fetty kwa msaada wa The Citizen Tanzania
USSR
Akamatwe kwanza anyetengeneza manati na kuwaachia watoto, ipo siku atamtoa mtu jicho, silaha yoyote ina miiko yake kabla haijakabidhiwa kwa mtuIngawa hakuna abiria aliyejeruhiwa, mmoja alikwepa chupuchupu kupigwa na jiwe hilo.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kuhusu tabia hatari ya mvulana huyo, ambayo inaweza kusababisha ajali mbaya katika siku zijazo
80Spidi ya ajabu inaanzia speed ngapi?
😀