Mtoto mikononi mwa polisi kwa kumlawiti mwenzake

Huo ujinga,kumuhukumu mtu kwa kosa alilofanya akiwa 'mjinga' kisheria
 
hayo mambo siku hizi yamekuwa mengi sana najaribu kuwaza sijui tatizo nini
Wazazi wengi nw days wanapenda hayo mambo, sasa mtoto itakuweje? Maisha ya kupeleka watoto boarding yanazid kuwa hatarishi sana.
 
Wewe mwenyewe unafira wanawake!

Unafiki tu
 
Na malezi yanachangia sana , tena kama huko vijijini vibinti umri kama huo ni vimicharuko hatari, watu hawaendi na Nyakati watoto wasiku hizi ni wajanja mno tofauti na huko nyuma, wazazi wananyanduana hovyo hovyo, kama wale wanaochezega nusu uchi, unategemea watoto wanajifunza nini.
 
Jamani Mungu tusaidie
 
Haya ni matokeo ya nyimbo za bongo fleva kina mondi, mboso na konde kuimba matusi kila nyimboo na utandawazi uliopitiliza..

Hali ni tete..
 
Swala la malezi ni very complicated sana, hasa nyakati hizi.

Mtoto wako unaweza mlea katika maadili mema, lakini jamii inayomzunguka ikawa changamoto kimaadili.
 
Huyo dogo wa miaka 13 asipelekwe jela ya watoto maana atawaharibu wengine, apelekwe jela ya watu wazima akaisome number walahi [emoji35]
Shenzi type [emoji2959]
 
Wewe ulilawitiwa?
Cc Rockefeller refer on comment no 37 [emoji116]

"Wapumbavu wasipokuja kukukejeli hapa kuwa wewe ndiwe uliyelawitiwa miongoni mwa hao Vijana wawili niite MFALME nimekaa pale [emoji117][emoji137]"

[emoji1787]
 
Unamaanisha huenda mtoto alishuhudia wazazi wake wakif*r*na hadharani ndipo naye akahamasika kufanya hivyo?
 
Haya ni matokeo ya nyimbo za bongo fleva kina mondi, mboso na konde kuimba matusi kila nyimboo na utandawazi uliopitiliza..

Hali ni tete..
Kabisa, na TV channels zinasapoti huo ujinga ilihali BASATA wakiwa wamekausha kau kau kama vile kinachoendelea ni kizuri kimaadili ktk Jamii zetu wa-TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…