kwa PCB ni matokeo mazuri sana hayo
Huyu hapa umemuonea bure! Kafaulu kabisa, ukukokotoa cut-off point zake ni 4.0 ambazo vyuo kama SUA ,MUCCOBs nk minimum entry requirements ni hiyo. So kama mtu anaqualify kuingia chuo kikuu iweje useme kaangukia pua? Hizi zitakuwa chuki binafsi
hhahahahhhahahhahahahahaahahaha
Huyu hapa umemuonea bure! Kafaulu kabisa, ukukokotoa cut-off point zake ni 4.0 ambazo vyuo kama SUA ,MUCCOBs nk minimum entry requirements ni hiyo. So kama mtu anaqualify kuingia chuo kikuu iweje useme kaangukia pua? Hizi zitakuwa chuki binafsi
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="width: 22%"]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Raia mnavyojua kuwadhalilixha watoto wa wa2 cjui na nyie hamtakuwa na watoto bwana.
Paty, Dottoz,not fair , hawa watoto wanafedheheshwa sana jinsi wandugu mnavyowa waanika
si ndio hapo mkuu! kwa PCB matokea mazuri saana! tu hayo... nadhani mleta mada alidhana dogo kapiga HKL au HGL!!
peter mlokota mkuu acha wivu! kumbuka ni PCB hiyo! hebu weka ya kwako six ulipiga kombi gani
mbona kuna watu wana point 16 na bado wako,SUA,UDSM,MZUMBE,UDOM,NAkwingineko acheni hizo na wengine wameingia chuoni kwa pre-entry
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]