Mtoto mzuri Alicios Theluji yuko wapi siku hizi?

Mimi ni mutu ya kongo kinshasa [emoji41]
Waha mlio wengi huwa si wasema ukweli.Mkiulizwa makabila yenu mnakimbilia kusema..."mimi siyo muha.Ni Mzairwaa/Mkongomani au Mrundi"...!You,Haas/watwas,who has bewitched you!?
 
Yani kumbe wakati alicious katoa hivyo vibao ulikuwa bado mdogo si mwaka 2012-2013 hivi? just miaka 7 nyuma
 
Chura anayo kaka, sema chura wake ni chura fulani adimu, huwezi kumpata kokote, yeye ana chura wa bwawa la kihansi.
Isitoshe anavyo vingi vya kuvutia, - sauti tamu
- umbo malidhawa kabisa lile [emoji41]
Hahaha...Daah! Kwamba sna chura wa Kihansi[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kumbe wakati alicious katoa hivyo vibao ulikuwa bado mdogo si mwaka 2012-2013 hivi? just miaka 7 nyuma
kipindi hicho nilikuwa na miaka 7, sasa nina miaka 14, very interested
 
Posa ya bolingo-audio na video zote kaliii
Ila sioni akiwa na nyimbo Nzuri kama hiyo.
 
Posa ya bolingo-audio na video zote kaliii
Ila sioni akiwa na nyimbo Nzuri kama hiyo.
Ipo inaitwa "Mpita Njia" ni Kali pia, aliimba na Juliana Kanyomozi.
 
Ukishajua alipo nenda kwake chukua namba yake ya simu unipe kwani ninahitaji kumjua
 
Keshazalishwa, mwili umeshamwagika.
 
Makwapa meusiii
 
Kumbe kipindi cha yabolingo ulikua mtoto ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…