Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Duuh naomba isiwe hivyo aisee
 
Hamna sio kama naogopa ila naona nikimtambulisha dogo ataishi Kwa mateso sana namjua mke wangu
Kaa na mama yake muombe msamaha kisha umuombe uwahamishe mbali na hapo na uanze kutoa huduma kwa mwanao.
Narudia tena Mhudumie mwanao
 
Wanawake bwana wakiamua lao linakua. Ameona isiwe tabu utajileta mwenyewe na kweli umejaa maana ushaanza kuweweseka acheni kuchepuka na wanawake wasioeleweka. Halafu si ukae kimya tu kwani shida iko wapi? Mtego alioweka umeshaanza kuingia soon atakudaka acha kuwa mjinga
 
Mkuu kaa Chini na mama yake myaweke Sawa kisha tumia protokali za kifamilia mtoto atambulishwe nyumbani ( ila kusema ukweli mkuu inaonekana wewe ni mwanaume wa ovyo sana and very week)
 
Tubia hii dhambi
 
Daah yaani huyu demu sijui anatafuta nini Mimi nilishasahau hii ishu tangia mwaka 2020 na yeye ndio alifosi mpaka akapata mimba
 
Mkuu kaa Chini na mama yake myaweke Sawa kisha tumia protokali za kifamilia mtoto atambulishwe nyumbani ( ila kusema ukweli mkuu inaonekana wewe ni mwanaume wa ovyo sana and very week)
Daah nilishaga muambia tusijuane tangia mwaka 2020 yaani kama nikikaa Naye chini kwenye kumhudumia si ndio atatumia fimbo ya kumleta mtoto karibu na ninapoishi Ili kunichapia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…