Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

ni vizuri tu ukawa Karibu na mtoto unamdhulumu haki yake. Kila mtoto ana baba yeye anajivunia nini? Akikua atakutenda vibaya siku utakayomhitaji. Haijalishi kosa ni la mama yake.
Daah hatari sana
 
Wewe unaujinga sana damu yako unaionea aibu badala ya kutubu yaishe ili upate muda wa kulea mtoto bado unajishtukia ..
 
Hivi una miaka mingapi kwanza? Damu yako unakuja kuomba ushauri ufanyaje? Ndoa inaweza kuvunjika, mkeo akapata mwanaume mwingine. Ila damu yako atakuwa nawewe mpaka uzee wako na anaweza huyu pekee ndiye akakujali, kuliko hao wa kwenye ndoa.

Ulijua una ndoa, ukaenda kufanyana huko bila protection. Sasa mlee huyo mtoto. Mkeo utajuana naye jinsi ya kumwambia. Ila huyo Malaika anza kupeleka matunzo, umri wa shule ukifika lipa ada. Huwa mnapata laana sababu ya hawa watoto, mnaowatelekeza.
 
Hiyo inaitwa ubaya ubwela,
Inategemea mtoto ulimkataa katika mazingira gani ila kitu cha muhimu zaidi kaa nae mzazi mwenzako muyamalize ulee mtoto huyo.
 
Daah sawa
 
Msichojua ni kwamba Mungu anapokubariki analeta Baraka kulingana na majukumu yako yaani analeta Baraka pamoja na za watu wanaokutegemea wewe. Sasa unapokataa kumpokea au kuwa karibu na huyo Dogo sio kwamba hataishi Ila unajifungia milango ya Baraka zingine na kujijazia laana bure kwa malalamko ya mama yake na mtoto mwenyewe.
Kama unakuwa na mashaka Bora ulee mimba akizaliwa mtoto ufanye DNA Mara Mia kuliko kukataa mimba baada ya nyie wawili kula starehe
 
Acha ujinga unakataaje mtoto ?
 
Wewe ndiyo mjinga maana unakataa damu yako.....
Jipige kifua mara mbili sema mimi ni mjinga sana, nakataa damu yangu sababu ya mwanamke niliyenae
 
Duuh sawa nitaifanyia kazi huu ushauri
 
Mwanaume wa kweli hakatai mtoto....mwanaume wa kweli anaahidi hata kama ni uongo......mwanaume wa kweli hakimbiiii mtoto wake

Hakunaga straiker wa kweli akakataa goli jombaaa....goli linakataliwaga na refaa sio straiker.....


KAMA unajiaminisha ulikojoa basi mbona unamkataaa chaliii hebu beba mwanao acha mazingaombwe bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…