Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Wanajamvi aisee ni noma nilimKataa mtoto miaka kama minne imepita Sasa ubaya Leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu mtoto anafanana na Mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo Bora asingefanana na Mimi ni noma maana inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka nishaurini nifanyaje wadau
Ukweli utakuweka huru.
 
IMG_20240724_155741.jpg
 
Kabla hajaambiwa na majirani, mwambie mwenyewe.

Inawezekana ataumia na kukawa na ugomvi lakini ni bora asikie toka kwako mwenyewe kuliko kuambiwa na walimwengu.

Kuwa kwako muwazi kwa mkeo kuende sambasamba na kurudisha mawasiliano na mwanao (sio mzazi mwenzio).
Duuh hii hatari dogo angekua hajafanana na Mimi ingekua kidogo afadhali au ningekua nimepanga mbona ningeacha Kodi ubaya nimejenga
 
Wanajamvi aisee ni noma nilimKataa mtoto miaka kama minne imepita Sasa ubaya Leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu mtoto anafanana na Mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo Bora asingefanana na Mimi ni noma maana inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka nishaurini nifanyaje wadau
Ubaya ubwela
 
Mwambie mkeo Kama ulikuwa UNABAKWA, na ulikuwa unaogopa kumwambia kipindi cha nyuma, , Ila hukujua kuwa kubakwa kule kungeleta madhara makubwa baadae, baada ya madhara kutokezea pia mwambie nilijikaza kufuchaa, na Sasa Hayo madhara yashaota mızıizi haswa,, na unajuta kwa kwani hukumwambia.
Sasa muulize yupo tayari kukusamehe na kukusaidiaa?
Akikwambia ndio .
Sasa mchukue dogo amuone Bila ya maelezo zaidi.
N.B
ZINAA NI MBAYA NA IMEKATAZWA NA VITABU VYOTE.
 
Daah Mimi nilishampaga huyu demu million 1 nikamuambia tusijuane nashangaa karudi tena
baada ya kumuona dogo kafanana nawewe na kuamini ni mwanao,,je hio m1 iliwatosha hadi mtoto kafika hapo, unajua walipitia changamoto ipi!?,,ongea na mkeo kama kuongea sasa huwezi,ongea na huyo mama mtoto akikubali mpangie nyumba sehem nyingine,huku ukiendelea kuhudumia mtoto

huku ukiendelea kujipanga jinsi na kumwambia mkeo,,,kosa ni kurudia kosa.
 
Back
Top Bottom