Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kushindwa weweShindwa shetani
Msechu tayari ameshaingia studio?Imeisha hiyo, tuongelee mengine
Inamaana amwite kwake?Kwa kweli, ampende zaidi
Kwa kweli, ampende zaidi
Shetani huna mamlakaUnaweza kushindwa wewe
Aiseee niliota hii kitu nikamuemail hakujibu like 2 weeks agoMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Aiseee niliota hii kitu nikamuemail hakujibu like 2 weeks agoMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Nimeona tu huu uzi nikakumbuka niliota hilo jambo na ni yeyeHii code ngumu Sana kufungua
Daah leo asubuhi kuna njozi kama hii iliniijia! Bwana Yesu amfunike kwa Damu yake!Aiseee niliota hii kitu nikamuemail hakujibu like 2 weeks ago
Mimi niliota kama wiki mbili hivi kwamba kapewa chakula kilochotilowa kituHebu wasilianeni na nabii mkuu mtajua kila kitu kuhusu RC wetu, acheni uchawi.
Hapana sio dram mimi niliotaSio drama tuu hiyo? Maana DAB anaweza hata ku act amekufa ili mradi apate milage katika media.
Lakini pia kwa tabia zake hayuko salama sana ndio maana kila siku drama za manabii na mashekhe haziishi
Duuu, yamekuwa hayo,Mungu mchujue mja wako
Naombea nae aingie kule kule alikowatanguliza wengine. MUNGU hana upendeleo.Kuna taarifa kuwa anaumwa sana.
Ni ama amelogwa au kalishwa sumu.
Aliowachongea wameliwa kichwa.
Oooo aiseeeDaah leo asubuhi kuna njozi kama hii iliniijia! Bwana Yesu amfunike kwa Damu yake!