Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Daah leo asubuhi kuna njozi kama hii iliniijia! Bwana Yesu amfunike kwa Damu yake!
Oooo aiseee
Mimi niliipata nakumbuka nilimu email nimeona huu uzi nikae da kwenye ile email ila sasa nilii unsend nikasema isije tokea alafu nikatafutwa
Yaani mimi naoteshwaga mambo mengi makubwa ila huwa sitazingatii mpaka hivi karibuni
Naotaga a whole isssue
Mi nilioneshwa kama kapewa chakula kitu flani cha kula alizidiwa sana yaani ila hakufa
 
Back
Top Bottom