Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kwenye mapokezi ya Mwenge hakuwepo.kama sio maconder basi hii code imetushonda
Mwenge Mkoa wake umepokelewa na RC wa KLM kama Kaimu Mkuu wa Mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mapokezi ya Mwenge hakuwepo.kama sio maconder basi hii code imetushonda
Paul MakondaUpinzani ndani ya chama ni mbaya sana. Bora hao chadema wakikosana anayeshindwa kuvumilia anatimkia upande wa pili. Mungu asaidie hiki chama wasije wakamalizana kabla ya uchaguzi.
Note: Bado sijaweza kuigungua code.
UtafungwaPaul Makonda
Tambaa na commentKwani kipepeo yupo kwenye kundi la wadudu pia Mtoto halali na hela nfungulie kodi basi
Hakuna asiyeogopa unabii wa britanicca kwa sasa, kesho naomba likizo kazini, sijui hata kwa nini!Bi mkubwa nawe watishika tena!?
Ubunifu huu niwahali ya juu waliosoma kiubatu ndo wanaweza kuionaYaani mkuu mbunifu au ??
Unakuwa na amani sana ukiwa hivyo ingawa wachawi hawakosekaniDawa sio kuongeza ulinzi ila dawa ni kutenda haki na kuichukia dhulma
Ndio, ile njia kama unaenda kwemye kivuko cha kuvuka kwa kamba, Daudi wakati anadhulumu fedha za watu akiwa RC, alimjengea nyumba nzuri akamtoa kwenye nyumba ya tope,Mkewe ni muhangaza?
DABKwani unamjua ni nani?
Wewe ni shetani kabisa!Mjane mniachie mimi, napajua mpaka ukweni Ngara, na nishaandaa ngombe za kupeleka kwa ajili ya mahari
Nimejaribu tu kufungua code, mtoto pendwa.......Utafungwa
OraitNimejaribu tu kufungua code, mtoto pendwa.......
Kama mkubwa mbona anatuogopa ukoo wetuKwamba wewe Kaka yake shetani unakiri kwamba Mungu ni mkubwa?
Ukiona huyu Bibi ananyoosha mikono...Bi mkubwa nawe watishika tena!?
Nina mpango nikaoe huko ngara hao wanawake nasikia ni wazuri mnoNdio, ile njia kama unaenda kwemye kivuko cha kuvuka kwa kamba, Daudi wakati anadhulumu fedha za watu akiwa RC, alimjengea nyumba nzuri akamtoa kwenye nyumba ya tope,
Wanajiitaga wahangaza, ila ni mnyarwanda