Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
SwadaktaNi Mungu pekeyake ndie mlinzi muaminifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SwadaktaNi Mungu pekeyake ndie mlinzi muaminifu
Dah aisee😆Unauliza ndevu kwa Osama? Mtoto pendwa alimtupa kwenye bwawa la mamba.
Ni habari njema sana kama anaumwa. Akifa nitafanya sherehe kubwa, kama niliyoifanya alipokufa jini mkuu.
7866 people are here
Wote tuseme aminaUnauliza ndevu kwa Osama? Mtoto pendwa alimtupa kwenye bwawa la mamba.
Ni habari njema sana kama anaumwa. Akifa nitafanya sherehe kubwa, kama niliyoifanya alipokufa jini mkuu.
Mbona hajaenda kutibiwa muhimbili, au sio mzalendo?Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Sema ndio hivyo binadamu tunajaa kiburi mnoSwadakta
Si alikuwa na yule mtaalam wa maji na mafuta mbona hajampa upako hadi akimbizwe bondeni?Last time kuji expose ni pale uwanja wa burka,kwenye mashindano ya pikipiki aliyoyaandaa.
Hamchelewi kufutaUnauliza ndevu kwa Osama? Mtoto pendwa alimtupa kwenye bwawa la mamba.
Ni habari njema sana kama anaumwa. Akifa nitafanya sherehe kubwa, kama niliyoifanya alipokufa jini mkuu.
Arusha kipindi hii ni baridi ya kutosha. Tunakula supu kwenda mbele hapa kwa mama Kanairo!Duh..!kumekucha au ndio maana mama kakasirika na anaamuankusafisha..
Ni ngumi kweli lkn nadhani labda inahusiana na A townHii code ngumu Sana kufungua
Atakua ametibua "kupindua meza Kwa kipara au"!!?Kuna taarifa kuwa anaumwa sana.
Ni ama amelogwa au kalishwa sumu.
Aliowachongea wameliwa kichwa.
Ni kweli mkuu, viongozi kulindwa mpaka na helicopter au kikosi kizima ni mbwembwe tu na kupoteza rasilimaliSema ndio hivyo binadamu tunajaa kiburi mno
Hata Mh E N Alienda huko kabla ya huyu.Yule ni mwamba ngoja apone atawanyoosha hawatokaa.
Ee mwenyezi Mungu saidia kondoo yako hii ipone haraka uwezekanavyo
Na wewe unaamini huyo ni Mtumishi!!?Mtumishi.alikua kipilimba tu!hao wengine mi siwaelewi!!Si alikuwa na yule mtaalam wa maji na mafuta mbona hajampa upako hadi akimbizwe bondeni?