permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Itakuwa hamna D mbili.Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa hamna D mbili.Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Ukiona hivyo ujue alivutwa ili amaliziwe, na ili kuwapumbaza watu ikabidi wale jamaa wawili watumbuliwe, kimaigizoMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Saa mbovu nazo husema kweli sometime. Usinielewe vibaya ila we are human don't forgetMkuu, kati ya kusema fulani ni mgonjwa kapelekwa South kutibiwa na kusema Mkurugenzi wa TISS punde atapumzishwa na Fulani atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa TISS na ikawa hivyo unadhani ni kipi kati ya hivyo kinahitaji muhusika awe na taarifa za ndani mno?.
Britannica hapa jukwaani ni taasisi inayojitegemea.
NA IWE VILE TU.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Siku hizi kila usemacho nakizingatia, ila watoto pendwa ni wengi, who is who?.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Anatrend kwa sababu inaonekana kuna taarifa ambazo bado sijazipata kiundani kwamba kaenda kutibiwa.
Nadhani wapo wenye masikio marefu ya kuweza kusikia huko ndani wanaongea nini au ni nini kimepata huyu mwamba wa kasikazini.
Siyo vumbi la mapikipiki limempalia alipokuwa akishindanisha pale Burka kweli? Huyu jomba nampenda hadi namchukia,na sijawahi kutamani awe karibu na gambo, wale wakiwa marafiki tutaisha.Walishatahadharishwa wasiachiane maji.
Atakuwa kaingia kwenye 18 za wabaya wake
hao watu ni hovyo nduguNdiyo wazushe hivyo ili iweje sasa? Nifaida gani upinzani wanapata kwa kumzushia kitu kama hicho?
Hujawahi kuniangusha!Tuna haki ya kujua hali za viongozi wetu.
Na siyo tu kusikia Diamond has got a new girlfriend
Six alifaidi kweli lile sambwanda
Hii kauli hiiTuna haki ya kujua hali za viongozi wetu.
Na siyo tu kusikia Diamond has got a new girlfriend
Last time kuji expose ni pale uwanja wa burka,kwenye mashindano ya pikipiki aliyoyaandaa.Itakuwa zero brain aliacha maji mezani.
Kikwete alisema wanaccm hawaachiani maji mezani.