Habari zako zinakuwaga za uhakika bri. Ngoja tuoneMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zako zinakuwaga za uhakika bri. Ngoja tuoneMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the ...31 Jan 2020
Kulikoni wajameni.Afadhali.
Nje ya mada! Mkubwa kitambo sana hujashusha stori zako za kibabe kwenye huu uga!Mkwe au DAB?
Nilijua ni tu ni uzushiyuko ofisini anachapa kazi ni uzushi ndugu
The Butcher of KolomijeKwani unamjua ni nani?
Za sikuNilijua ni tu ni uzushi
Nimelegeza mno. Linakaribia kuachialegeza fuvu kiasi. utaelewa
Njema,habari yakoZa siku
Walete MOSSAD 😄😄Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Yupo busy na majukumuTusubiri labda Lucas Mwashambwa anaweza kuwa na habari za uhakika zaidi.
Kwema mkuu, kuna dogo alikutag sehemu lakini hukumjibu.Baada ya hili, watakuja na drama gani tena? Wao wameamua kumwaga ugali, wenzao watamwaga mboga. Ya EA hayaepukiki. Next Tz
ni tarifa zenye nia ovuNilijua ni tu ni uzushi
Aisee kumbe??!ni tarifa zenye nia ovu