kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Tuseme kaenda kimya kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio Bashite wameweza kumuotea?
Wamempulizia nini Sumukuvu?Wala Nya wakikuhitaji hauchomoki ,kama Jiwe aliingia kwenye 18 sembuse DAB?
ArachugaAliyeelewa anijuze na mimi
Umeamua mbwai iwe mbwa.Kwa ambao hamuelewi code anazungumziwa Paul Makonda
Labda hawa jamaa walioondolewa juzi wanahusika maana alisema atawataja kwa mama.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Mkwe hakuepo saa tisa.Mkwe au DAB?
Acha mafumbo, hapa JF bwana kuwa wazi.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Dereva inaonekana kapewa sumu yuko Kwa Madiba. Ni yule wa Arusha Konda boi A.K.A DABHii code ngumu Sana kufungua
Msechu ana song la kila mtu tayari 😁😁Peter Msechu ataingia studio?
Konda boyFungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa