Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
atasingizia mabumunda mawili kuwa ndiyo yapo behind it.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbeya hauna poshoAnatrend kwa sababu inaonekana kuna taarifa ambazo bado sijazipata kiundani kwamba kaenda kutibiwa.
Nadhani wapo wenye mkono masikio marefu ya kusikia huko ndani wanaongea nini au ni nini kimepata huyu mwamba wa kasikazini.
Wakati JPM anaumwa, mlisema hivi hivi lakini mwisho wa siku akafa kwa kuumwa kule kule mlikukokuwa mnasema ni umbea na kwamba anachapa kazi zake.Umbeya hauna posho
Walisema twanga pepeta
Hamchelewi kufuta tupe chanzo aminifu basiKuna taarifa kuwa anaumwa sana .
Ni ama amelogwa au kalishwa sumu.
Aliowachongea wameliwa kichwa.
Nini?Wee buana wewe ( kwa sauti ya kitenge)
ChaiAnatrend kwa sababu inaonekana kuna taarifa ambazo bado sijazipata kiundani kwamba kaenda kutibiwa.
Nadhani wapo wenye masikio marefu ya kuweza kusikia huko ndani wanaongea nini au ni nini kimepata huyu mwamba wa kasikazini.
Wapi Mzena au Mloganzila?Kwa nini asitibiwe hapa nchini wakati huwa anasema mama ameboresha kila kitu??
Lucas Mwashambwa ChoiceVariable FaizaFoxy
Anatrend kwa sababu inaonekana kuna taarifa ambazo bado sijazipata kiundani kwamba kaenda kutibiwa.
Nadhani wapo wenye masikio marefu ya kuweza kusikia huko ndani wanaongea nini au ni nini kimepata huyu mwamba wa kasikazini.
Acha umbeyaWakati JPM anaumwa, mlisema hivi hivi lakini mwisho wa siku akafa kwa kuumwa kule kule mlikukokuwa masema ni umbea na kwamba anachapa kazi zake.
Kwa hio Bashite wameweza kumuotea?Dawa ya moja ni moto ,hilaji ilagi ,aliyeua kwa upanga atakufa kwa upanga.