The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
legeza fuvu kiasi. utaelewaFungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
🤣🤣🤣🤣
hapana. alimezwa.Hv saa tisa aliliwa na chatu? 🤔
Ndio tena chato mwenyewe alimla kwa mikono yake miwili.Hv saa tisa aliliwa na chatu? 🤔
HakikaSio drama tuu hiyo? Maana DAB anaweza hata ku act amekufa ili mradi apate milage katika media.
Lakini pia kwa tabia zake hayuko salama sana ndio maana kila siku drama za manabii na mashekhe haziishi
Hata Selemani Bungara "bwege" aliwaambia hii pale mjengoniyalishatabiriwa kwamba wataanza kutafunana wenyewe...
Mac ConderAliyeelewa anijuze na mimi
Hayo umeyatagi ni MazobaKwa nini asitibiwe hapa nchini wakati huwa anasema mama ameboresha kila kitu??
Lucas Mwashambwa ChoiceVariable FaizaFoxy
Dah huyu mwamba LB7 UCD kumbe bado yupo?Afadhali.
Ukifunguliwa shikilia hapo hapo kwanza na mimi niingie kabla haujajilock..Hii code ngumu Sana kufungua
Labda Cuba ya kwa Mtogole [emoji2][emoji2]Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa