Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
We umeelewa niniUna uhakika au umejiongeza ?
Sumu ziko za aina nyingi kaka, some designed for instant impact, zingine ziko designed kuku chakaza taratibu , so ita dependMods hii thread haikubaliki ifutwe kutunza jina la Jf. Aipeleke kule udaku etc. Sumu huwa haikupi muda wa kupelekwa hadi SA. Ni sawa na kuumwa na cobra. Hizo za polepole clinical presentation yake huaga siyo hivyo eg polonium
Lol hii nayo?Hii code ngumu Sana kufungua
Duh!!!Namwona Peter Msechu yupo busy na mashairi, labda anajiandaa na sikukuu ya mashujaa.
hakuna sumu itamuua mtoto pendwa, wataingilia wapi, amekabidhi hatima yake yote kwa shetani ili apate vyeo na kutawala viongozi wakubwa, ni jitu kubwa san akwenye ulimwengu wa mashetani huko hata kama anajifanya kusali na kulialia. Mungu amrehemu na kumtoa huko gizani.Sumu ziko za aina nyingi kaka, some designed for instant impact, zingine ziko designed kuku chakaza taratibu , so ita depend
Nilikuwa nasubiri hii comment 🤣Kwa nini asitibiwe hapa nchini wakati huwa anasema mama ameboresha kila kitu??
Lucas Mwashambwa ChoiceVariable FaizaFoxy
Duuh aiseeehakuna sumu itamuua mtoto pendwa, wataingilia wapi, amekabidhi hatima yake yote kwa shetani ili apate vyeo na kutawala viongozi wakubwa, ni jitu kubwa san akwenye ulimwengu wa mashetani huko hata kama anajifanya kusali na kulialia. Mungu amrehemu na kumtoa huko gizani.
Labda itokee vinginevyo ila akirudi mzima kuna watu watakiona cha mtema kuni. Hatowaacha katu!!!Duh!.. alisema hawamuwezi.,imekuwaje.
Relax mweusi "humu tu", ngoja jitu life limeua sana wengineMaelezo mengi alafu pumba
Hakuna codes hapa. Ni ujinga tu kama ujinga mwingine. Ukifinywa kidogo uthibitishe utaanza kulia lia tuBwana lema huyo mpinzani wako hapo kwenu viena amekosa njia nyingine ya kumkomesha mwenzie hapo kwenu zaidi ya kumuekea sumu kwenye chakula? Hauogopi Kwa mungu wake? Eti kisa dunia tu aisee this is too much sasa ataenda kujibu nini kwa mungu wake?
Najua utake usitake hapo kwenu viena mwaka huu hautoboi kabisa aisee maana msimu uliopita aliingia Kwa hisani ya bwana liquor 🥃 lakini kwa sasa hawezi kutoboa this time
Bwana msaidizi wa dereva na wewe acha ubabe aisee lakini karma is real kama ulivyowafanya wenzio na wewe umefanywa hivyo hivyo lakini tunaomba mungu akupe afya njema Ila pole bwana.
Get well soon nkoi gete gete
Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.