Uonavyo wewe, basi unaona kijinga sana
 
Uonavyo wewe, basi unaona kijinga sana
Wewe nawe acha chuki zako unaona Makonda mbaya kwa kila kitu!
Ila nikwambie tu Makonda is the best kwa viongoz tulio nao kwa sasa!
Kwa hiyo unataka kusema Makonda ni kiongozi mbaya
Sema wengi wenu mna chuki na hofu sana na jamaa!
Naomba awe mzima ili aendelee kuwahudumia Watnzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…