DAB is safe, puuzeni uzushiMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Leo ni jumamosi, R.I.P ni ya Alhamisi ., bado wanapaka rangi au wanatengeneza barabaraR.i.p
Oyaaa mkuu hiyo ngoma ni hatari hiyo sumu nilishawai kusoma kijitabu flan kuhusu io sumu haina antdot wala nini ni unaoza taratibuone gram of polonium-210 is enough to kill 50 million people and sicken another 50 million
Oyaaa mkuu hiyo ngoma ni hatari hiyo sumu nilishawai kusoma kijitabu flan kuhusu io sumu haina antdot wala nini ni unaoza taratibu
Amen mkuu namuombea apone kama anaumwa kweliMakonda ni kiongozi mzuri sana, ila shida inakuja maadui zake Huwa hawapendi Yeye kung'ara, na mara nyingi Huwa wanamsubiri akiwa mbele za watu, kuna namna wanafanya anaongea mambo yanayomshusha Yeye mwenyewe.
Sidhani kuna BAYA litampata.
Aongeze umakini tu.
Ila ni kiongozi mkubwa sana, sababu anawapenda watu wa ardhi anayoiongoza sio anapenda uongozi.
Ingekuwa anapenda uongozi tungeona vile anatoka Uenezi kwenda RC akififia.
Anapenda kutatua matatizo na ni nadra sana jamii kuwa na watu wa namna hii.
Alishughulikie Hilo kuthibiti kuchezewa kauli anapokuwa mbele za watu na kuongozwa akili nje ya mapenzi yake.
Jamii ilipaswa kumlinda Paul Makonda na si vinginevyo, hivyo ndivyo nionavyo Mimi.
Naamanisha Ukishakuwa na tabia ya kusifiasifia watu kujipendekezaUna maana gani mkuu,kwamba Makonda kapata matatizo kwa kuwa ni chawa?Hebu fafanua.
Kama nani hapa jukwani JF?Naamanisha Ukishakuwa na tabia ya kusifiasifia watu kujipendekeza
Kugongwa lazima
Ova
Acha ujuaji huna unachofahamu.Kwamba majukumu ya RC nayo ni siri?
Kasome sheria inayohusina na Local Government (Authorities) Administration Act utaona majukumu yote ya RC na DC sasa cha ajabu kipi hapo?
Na hisi na yeye kaelewa kama wewe...Duh!
"Dp"? au 'Avatar'? Naona utaishia kujichafua bure hapo ulipo!
He is still alive... soon atajitokeza... mtaona aibu.Leo ni jumamosi, R.I.P ni ya Alhamisi ., bado wanapaka rangi au wanatengeneza barabara
BashiteNi nani huyo
Dada mkubwa kwema! Ujaota kuhusu mimi kupata kazi??Kumtamkia au kutaka even Ur worst enemy Afe Ni Aina moja wapo ya uchwawi
Mr. Two O'clockDAB alifanya makosa sana kumpoteza Watch eight.
umeharibu uzi! Code hujibiwa kwa Code!Bashite
AfterNoon.Mr. Two O'clock
Wewe jamaa unatupangaga na kutuzuga humu eti unachoma mkaa minjingu. Wewe siyo mchoma mkaa wewe ni teeth tena wale teeth wazalendo.1. Siku mbili kabla ya Ben kupotea alikuwa anafanya mawasiliano na DAB ili waweze kumeet wafanye kikao.
2. Hata yule "TEETH" Ramadhani Igondu aliyemteka Dr Ulimboka naye kabla hajatekwa alikuwa anafanya naye mawasiliano ili waweze kukaa wasuluhishe.
3.Sativa alitekwa DAR akapelekwa Arusha(Hapa hakuna haja ya D Mbili alipelekwa kwa nani) ,Akapigwa risasi ya kichwa ifumue ubongo bahati nzuri ikapiga kwenye TAYA.
Kwahiyo hawa jamaa kabla hawajkuingiza kwenye 18 ni lazima wafanye mawasiliano na wewe kukuleta karibu na kukuaminisha ,ukishawaamini wanaweka mitego na kujua plan zako zote ,mishe mishe na mizunguko yako yote maana katika mawasiliano lazima utataja tu location kwamba siku flani nitakuwa sehemu faln so tufanye kikoa kesho kutwa then wao ushawapa location then wanakutight before hiyo siku mliyopanga.
TAL kupigwa risasi.
-Siku ambayo TAL anapigwa risasi DAB alikuwa Dom ku-engineer assassination .na siku hiyo hiyo Mwendazake alikuwa anapokea report ikulu na haijawahi kutokea JIWE ame anafanya event yeyote DAB asiwepo ,lakinu siku hiyo DAB hakuwepo...Kumbe alikuwa Dom -Master Minder.
Report ya Ubalozi ya US
-US embassy walitoa report ya kumzuia DAB asiingie marekani kwasababu kadhaa moja wapo ya kuondoa haki ya watu kuishi(Hapa lazima uwe na D mbili kama Za Leonard uweze kuelewa).
Hii umedanganya 😀😀😀Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.