Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Hapo umezungumza kama RC inaweza kuwa kweli ni mdogo....kiasi kwamba dola haiwez fanya makeke...kumbuka Tz RC sio yeye tu...wapo wengi? Y yeye?...labda nikupe taarifa ndogo tuu...Tuombee Mungu awe salama...vinginevyo cjui...huku kwenye mitandao ni tofauti sana na nje ya mitandao...Mh Rc nje ya mitandao ana attension kubwa sana ya wananchi....yaan pale kwenye uenezi alimaliza kila kitu...na ndio usalama wake ulipo...kiasi kwamba likitokea lolote baya juu yake....kuna mistari itachorwa kwa wananchi...isifike mahali wananchi waka draw lines ya introduction na conclution kuwa sehemu moja huku refference wakichukua miaka 3 iliyopita...🇹🇿🙏🏾
Ukisha ondoka duniani kila lililo la kwako linafungwa. Aliondoka magufuli na shughuli za serikali hazikusimama sembuse RC? Cha msingi kumwombea apone kama kweli anaumwa ila ukiondoka ndio umesahaulika.

Fikiria trump angekufa siku ile unadhani kuna ambalo lingebadilika pale marekani? Uchaguzi ungeitishwa baadae na kuendelea
 
Hapo umezungumza kama RC inaweza kuwa kweli ni mdogo....kiasi kwamba dola haiwez fanya makeke...kumbuka Tz RC sio yeye tu...wapo wengi? Y yeye?...labda nikupe taarifa ndogo tuu...Tuombee Mungu awe salama...vinginevyo cjui...huku kwenye mitandao ni tofauti sana na nje ya mitandao...Mh Rc nje ya mitandao ana attension kubwa sana ya wananchi....yaan pale kwenye uenezi alimaliza kila kitu...na ndio usalama wake ulipo...kiasi kwamba likitokea lolote baya juu yake....kuna mistari itachorwa kwa wananchi...isifike mahali wananchi waka draw lines ya introduction na conclution kuwa sehemu moja huku refference wakichukua miaka 3 iliyopita...🇹🇿🙏🏾
Sio Watanzania !
Watanzania watakushangilia watakubeba watalala chini upite juu ya migongo yao nk nk nk.

Lakini likikutokea lolote baya la kukutokea wanakuacha peke yako !
Hautoamini macho yako wala masikio yako !!
Hao ndio wanaoitwa Wabongo !
Kwa maneno watakuwa na wewe lakini kwa vitendo utabaki pekee na familia yako 😅😅😂🤠
 
Walipokwenda dinner hapo hapo mtu akalishwa sumu.Imenikumbusha yule mrusi Alexander Litvinenko .Watu waliompa sumu ni marafiki zake kabisa aliofanya nao KGB kabla hajakimbilia London.Wakampigia simu waonane waongee kumbe wanakwenda kumpa sumu. Alikula hiyo sumu tarehe 1 Novembre. Tarehe 26 Novembre akafa. Ilikuwa 2006.
Nami namkumbuka huyu. Alexander Ltvinenko alipewa polonium dose ya watu 20 kwenye kinywaji.

Waliweka dozi kubwa wakijuwa kuwa Mifumo ya Afya ya Uingereza inaweza kumuokoa kama wataweka dozi ya kawaida. Hivyo wakmpa kitu kinaitwa ubaya ubwela
 
Wakati JPM anaumwa, mlisema hivi hivi lakini mwisho wa siku akafa kwa kuumwa kule kule mlikukokuwa mnasema ni umbea na kwamba anachapa kazi zake.

JPM hakuwa mkristo , hata Bashite kama ni mkristo kweli hawezi kufa kwa sumu

Marko 16

17 “Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; watasema kwa lugha mpya;

18 wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona
 
COMRADE MAKONDA , TUNAJUA UKO MZIMA NA SALAMA KABISA, UNAPITIA UZI HUU HUKU UKITABASAMU, TANZANIA IKO SHWARI NA TAMBUA KUWA UNA NGUVU KUBWA SANA NDANI YA JAMII, COMRADE , WENGI WANAKUOMBEA MABAYA SANA NA NAJUA KUWA WEWE UKO MBELE YA MUDA WAO, UNAONA MBELE ZAIDI YAO, WEWE NI KADA ULIYEPIKWA NA UKAPIKIKA, HAKIKA WENGI ZAIDI WANAKUPENDA NA KUKUOMBEA MEMA MENGI , UMETOA SOMO KUBWA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU . UMEACHA ALAMA KAMA YA KIJANA MWENYE UVUMILIVU NA UTHUBUTU . WENGI WANATAMANI WAPATE NAFASI TU ULIYO NAYO AU WAPATE KUONGELEWA KAMA WEWE. MAKONDA PIGA KAZI BABA. ENDELEA KUTUVUSHA. WEWE NI MFANO WA KIONGOZI . MABAYA YAZIKWE . MEMA DAIMA .


iamwangdamin
Ccm oyeeeee. Ccm mbele kwa mbele.
Muuaji tu huyu ndiyo alama aliyoacha. Ila ikimpendeza Mungu amfuate Mzee w Chato waliyekuwa wanaua naye watu wasio na hatia na kuwadhulumu mali zao
 
Nami namkumbuka huyu. Alexander Ltvinenko alipewa polonium dose ya watu 20 kwenye kinywaji.

Waliweka dozi kubwa wakijuwa kuwa Mifumo ya Afya ya Uingereza inaweza kumuokoa kama wataweka dozi ya kawaida. Hivyo wakmpa kitu kinaitwa ubaya ubwela
Nimecheka sana mkuu
 
Masikini weeee kaenda kukamuliwa mbegu kama ng'ombe kisha zikarutubishwe kwenye maabara. Ndiyo maana yule Keagan ana vimelea vya kifilipino
Kwa kalio hili nguvu ya kupump aitoe wapi
 

Attachments

  • Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
    Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
    382.5 KB · Views: 5
Hapo umezungumza kama RC inaweza kuwa kweli ni mdogo....kiasi kwamba dola haiwez fanya makeke...kumbuka Tz RC sio yeye tu...wapo wengi? Y yeye?...labda nikupe taarifa ndogo tuu...Tuombee Mungu awe salama...vinginevyo cjui...huku kwenye mitandao ni tofauti sana na nje ya mitandao...Mh Rc nje ya mitandao ana attension kubwa sana ya wananchi....yaan pale kwenye uenezi alimaliza kila kitu...na ndio usalama wake ulipo...kiasi kwamba likitokea lolote baya juu yake....kuna mistari itachorwa kwa wananchi...isifike mahali wananchi waka draw lines ya introduction na conclution kuwa sehemu moja huku refference wakichukua miaka 3 iliyopita...🇹🇿🙏🏾
Watanzania gani unaowazungumzia??
Wale mliwaita wanyonge ili mzidi kuwa didimiza??
Kila mtu abebe msalaba wake, kama umetengeneza uadui na watu kila kona ya nchi kwa madaraka yako hakuna njia tunaweza kujiumiza ubongo kupaza mishipa ya shingo.
Kisasi ni haki, kila mtu acheze mechi zake.

Hallelujah!!!
 
Kwa alivyo yule mzee wa kutaka kusikika na alishasema watu wanamtafuta hatuamini mpaka tujioneee kwa macho na fahamu zetu. Mzee wa drama atusamehe sana kwa sisi akina tomaso maana hatuamini chochoke kile kisemwacho juu yake hadi tuthibitishe wenyewe.
 
Watanzania gani unaowazungumzia??
Wale mliwaita wanyonge ili mzidi kuwa didimiza??
Kila mtu abebe msalaba wake, kama umetengeneza uadui na watu kila kona ya nchi kwa madaraka yako hakuna njia tunaweza kujiumiza ubongo kupaza mishipa ya shingo.
Kisasi ni haki, kila mtu acheze mechi zake.

Hallelujah!!!
dah kweli umechafukwa.
 
Nami namkumbuka huyu. Alexander Ltvinenko alipewa polonium dose ya watu 20 kwenye kinywaji.

Waliweka dozi kubwa wakijuwa kuwa Mifumo ya Afya ya Uingereza inaweza kumuokoa kama wataweka dozi ya kawaida. Hivyo wakmpa kitu kinaitwa ubaya ubwela
Tatizo walikuwa ni marafiki zake.Aliwaamini ndo akaenda kuonana nao.Imagine rafiki yako ndo anakuwa chanzo cha wewe kwenda kaburini.
 
Nami namkumbuka huyu. Alexander Ltvinenko alipewa polonium dose ya watu 20 kwenye kinywaji.

Waliweka dozi kubwa wakijuwa kuwa Mifumo ya Afya ya Uingereza inaweza kumuokoa kama wataweka dozi ya kawaida. Hivyo wakmpa kitu kinaitwa ubaya ubwela
Hatari sana !
 
Back
Top Bottom