Mwakyembe nywele zilivyomnyonyoka na ngozi ya mwili yake kuathirika unafikiria ni nini. Suala ilikuwa ni timing tu, ukijichanganya tu, watu wanakula kichwa.

Sehemu zipo tu nyingi za timing, siti ya gari, mlango wa gari, harufu ya manukato, nyaraka za kiofisi, washroom, n.k. Kwa hiyo siyo lazima iwe sunu ya kulishwa ama kunyweshwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…