MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Mwanapendwa ajaye kwa mwanapundaAliyeelewa anijuze na mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanapendwa ajaye kwa mwanapundaAliyeelewa anijuze na mimi
Aliyeelewa anijuze na mimi
Inaonekana sumu kapewa siku nyingi ndo maana mpaka mwenge ulipokelewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa!Oooo aiseee
Mimi niliipata nakumbuka nilimu email nimeona huu uzi nikae da kwenye ile email ila sasa nilii unsend nikasema isije tokea alafu nikatafutwa
Yaani mimi naoteshwaga mambo mengi makubwa ila huwa sitazingatii mpaka hivi karibuni
Naotaga a whole isssue
Mi nilioneshwa kama kapewa chakula kitu flani cha kula alizidiwa sana yaani
Mimi ile ndoto ilikua dhahiri kama maono kabisaInaonekana sumu kapewa siku nyingi ndo maana mpaka mwenge ulipokelewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa!
Ila kama walimlenga kwa hilo watakuwa wameshindwa!
Tuombe awe mzima! Ina maana mtu alomtega sumu kamfatilia siku nyingi!Mimi ile ndoto ilikua dhahiri kama maono kabisa
Yaani nimeona hii post nikakumbuka
Pia ilionekana kazidiwa sanaaa
Yaani labda isiwe ni yeye lakini hata kama sio yeye
Yabid awe makini mnoo
Mi naotaga mtu flani may be kaumia
Na kweli kesho anaumia na hii ipo kwetu hata mama ana maono sana
Wadaladala #43Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Nyepesi mbna sana. DaladalaHii code ngumu Sana kufungua
Unajua swali hani najiuliza na kujijibuTuombe awe mzima! Ina maana mtu alomtega sumu kamfatilia siku nyingi!
Ila jamaa kama atapona na Samia atakua kakerwa sana na hili na atakuwa anajua wahusika!
Aese ikitokea bahati mbaya serkali ya Samia itaonekana ilikuhusika pia kumwondoa JPM!Unajua swali hani najiuliza na kujijibu
Natamani ndoto hii angeota ntu wake wa karibu ili ampashe hii habari
Ila pia kama ni yeye Mungu amlinde
Ila pia hakuna binadamu anaestahil ukatili wa aina yoyote
Well said. Mama inabidi asimame kidete aiseeAese ikitokea bahati mbaya serkali ya Samia itaonekana ilikuhusika pia kumwondoa JPM!
Kusema kweli watu hawatamwelewa hata kidogo!
Ila naamini yuko salama na anaendelea vizuri!
Post yake ya mwisho Instagram mwisho ni jumapili asubuhi!
Hii ni mbaya sana kwa upande wake hatakuwa na cha kujijitea Rc mstaafu wa kagera before mwanza atakenua kweliAese ikitokea bahati mbaya serkali ya Samia itaonekana ilikuhusika pia kumwondoa JPM!
Kusema kweli watu hawatamwelewa hata kidogo!
Ila naamini yuko salama na anaendelea vizuri!
Post yake ya mwisho Instagram mwisho ni jumapili asubuhi!