Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Ndio, ile njia kama unaenda kwemye kivuko cha kuvuka kwa kamba, Daudi wakati anadhulumu fedha za watu akiwa RC, alimjengea nyumba nzuri akamtoa kwenye nyumba ya tope,

Wanajiitaga wahangaza, ila ni mnyarwanda
Yule binti kwao wanajiweza..baba doctor mama mwalimu na anamiliki shule...hawajawahi ishi kwenye nyumba ya udongo. Labda huko kwa bibi lkn sio Arusha
 
Bazazi six, nchi hii tumekuwa na viongozi wa hovyo sana,
Watu wenye hela baada ya kutimiza ndoto zao hutaka kutimiza fantasies zao. Utakuta Sitta alishafanya ushenzi wote kwa wanawake akaona ajaribu upande wa pili ndo matokeo yake labda Bashite akawa mhanga. Tajiri kukwepa kufanya dhambi ni ngumu mno.
 
Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
Back
Top Bottom