EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kuna mawaziri wanamtukana Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAna ccm watajuana wenyewe kwa kweli, waditusumbue kabisaWatajuana wenyewe
Peleka na WA kwako Mkuu kama unafikiri ni rahisi yule ni mwanaume...humfikii Kwa loloteHuyu Lema ambae hana uwezo hata wa kutunza mke wake na watoto hadi wanaishi kama wakimbizi Canada basi ataishi milele
Hahaha 😂😂😂Kwa nini mkuu wa mkoa mwingine ndiye anakaimu badala Katibu tawala au mmojawapo wa wakuu wa wilaya za Arusha??
Bora lema wake wapo canada wako yupo na bodaboda na jinsi bodaboda hawapigi mswaki sijui mkeo kampendea niniHuyu Lema ambae hana uwezo hata wa kutunza mke wake na watoto hadi wanaishi kama wakimbizi Canada basi ataishi milele
Tutajieni basi mhusikaBaadhi ya menbers wanaropoka...Gambo anaingiaje hapa?
Wewe umefunua kila kitu.La kwamba Yuko Bondeni anaumwa inawezekana ,Labda kapata Shell au Oilcom.
Achana na ma poyoyo hayo,hawataki hata watumishi waende likizo,kila siku wanataka kuwaona wakiwa kazini kama vile ndg zangu kila muda wanataka tukutane!!Lete evidence
Kwani Makonda na Lema Wana urafiki?Tutajieni basi mhusika